Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ancelotti:Nikifutwa nitapumzika mwaka 1

Mkufunzi wa kilabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amesema kuwa atachukua likizo ya mwaka mmoja iwapo atafutwa kazi na kilabu hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwaka huu kamwe sitausahau - Carlo Ancelotti

Real Madrid imefanikiwa kufunga jumla ya magoli 178 kwenye mashindano yote na kuweka rekodi ya kufunga mabao mengi kwenye mwaka mmoja.

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Filamu 100 nitapumzika- King Majuto

Mchekeshaji mkongwe, Amri  Athumani ‘Mzee Majuto’ amefunguka na kuweka wazi project yake mpya ya kuandaa filamu 100.

Majuto ameiambia Bongo5 kuwa amefanya hivyo ili baada ya kumaliza kazi hizo apate muda wa kupumzika wa kutosha.

“Yeah na shoot na edit halafu nahifadhi, zikifika 100 nakaa na kupumzika nakula bata, makampuni kama yakihitaji filamu mimi nawapa, mpaka sasa nipo ya sita, nyingi itakuwa nazi-shoot huku Tanga,” alisema Mzee Majuto.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni yapi majaaliwa ya Ancelotti

Ancelotti agoma kujadili majaliwa yake baada ya Real Madrid kung’olewa a Juventus.

 

10 years ago

Mwananchi

Ancelotti: Mwacheni, Khedira hauzwi

Kocha wa Real Madrid amesema kiungo wake aliye majeruhi, Sami Khedira hauzwi kwa gharama yoyote ile wakati wa dirisha dogo Januari mwakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Carlo Ancelotti atimuliwa,Real Madrid

Hatimaye miamba ya soka nchini Hispania Real Madrid imemtimua kocha wa timu hiyo Carlo Ancelotti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Carlo Ancelotti amkemea wakala wa Bale

Mkufunzi wa kilabu ya Real Madrid amemtaka ajenti wa mchezaji Gareth Bale kufunga mdomo wake baada ya kusema kuwa wachezaji wenzake hawampigi pasii vya kutosha.

 

9 years ago

Dewji Blog

Rasmi: Ancelotti kuchukua nafasi ya Guardiola Bayern Munich

151220161033-guardiola-ancelotti-split-exlarge-169

Carlo Ancelotti (kulia) na Pep Guardiola (kushoto).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kwa kipindi cha miezi kadhaa iliyopita viongozi wa klabu ya Bayern Munich walikuwa wakifanya mazunguzmo na kocha wa sasa wa timu hiyo, Pep Guardiola ambaye alionekana kutohitaji kuendelea kuifundisha klabu hiyo ya Ujerumani huku tetesi zikisema kuwa anataka kwenda kufundisha timu za Wingereza hatimaye klabu ya Bayern Munich imempata mrithi wa Guardiola.

Kocha wa zamani wa Real Madrid,  Muitalia Carlo Ancelotti...

 

5 years ago

FOX Sports Asia

Chelsea 4-0 Everton: Carlo Ancelotti swept aside on Stamford Bridge return

Chelsea 4-0 Everton: Carlo Ancelotti swept aside on Stamford Bridge return  FOX Sports AsiaAncelotti succumbs to worst-ever defeat as former club Chelsea thrash Everton  Goal.comEPL Winners and Losers After Sunday's 2020 Week 29 Premier League Results  Bleacher ReportMatch report: Chelsea 4 Everton 0  Chelsea FCRoy Keane warns Carlo Ancelotti about Everton job in damning assessment of Chelsea loss  Daily StarView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani