Ancelotti:Nikifutwa nitapumzika mwaka 1
Mkufunzi wa kilabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amesema kuwa atachukua likizo ya mwaka mmoja iwapo atafutwa kazi na kilabu hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Mwaka huu kamwe sitausahau - Carlo Ancelotti
10 years ago
Bongo Movies27 Apr
Baada ya Filamu 100 nitapumzika- King Majuto
Mchekeshaji mkongwe, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’ amefunguka na kuweka wazi project yake mpya ya kuandaa filamu 100.
Majuto ameiambia Bongo5 kuwa amefanya hivyo ili baada ya kumaliza kazi hizo apate muda wa kupumzika wa kutosha.
“Yeah na shoot na edit halafu nahifadhi, zikifika 100 nakaa na kupumzika nakula bata, makampuni kama yakihitaji filamu mimi nawapa, mpaka sasa nipo ya sita, nyingi itakuwa nazi-shoot huku Tanga,” alisema Mzee Majuto.
10 years ago
BBCSwahili14 May
Ni yapi majaaliwa ya Ancelotti
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Ancelotti: Mwacheni, Khedira hauzwi
10 years ago
BBCSwahili26 May
Carlo Ancelotti atimuliwa,Real Madrid
10 years ago
BBCSwahili12 May
Carlo Ancelotti amkemea wakala wa Bale
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Rasmi: Ancelotti kuchukua nafasi ya Guardiola Bayern Munich
Carlo Ancelotti (kulia) na Pep Guardiola (kushoto).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kwa kipindi cha miezi kadhaa iliyopita viongozi wa klabu ya Bayern Munich walikuwa wakifanya mazunguzmo na kocha wa sasa wa timu hiyo, Pep Guardiola ambaye alionekana kutohitaji kuendelea kuifundisha klabu hiyo ya Ujerumani huku tetesi zikisema kuwa anataka kwenda kufundisha timu za Wingereza hatimaye klabu ya Bayern Munich imempata mrithi wa Guardiola.
Kocha wa zamani wa Real Madrid, Muitalia Carlo Ancelotti...
5 years ago
FOX Sports Asia10 Mar
Chelsea 4-0 Everton: Carlo Ancelotti swept aside on Stamford Bridge return