Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Carlo Ancelotti atimuliwa,Real Madrid

Hatimaye miamba ya soka nchini Hispania Real Madrid imemtimua kocha wa timu hiyo Carlo Ancelotti.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Hatimaye Carlo Anceloti atimuliwa Real Madrid.

Hatimaye miamba ya soka nchini Hispania Real Madrid imemtimua kocha wa timu hiyo Carlo Ancelotti baada ya kuiongoza klabu hiyo kwa misimu miwili.

Kocha huyo raia wa Italia, aliiongoza Madrid kutwaa taji la kombe la Hispania kabla ya kuibebesha miamba hiyo taji la kumi la klabu bingwa barani Ulaya.

 

Pamoja na mafanikio hayo aliyoyapata msimu uliopita, mwaka huu haukuwa mzuri kwa vijana hao wa Benabeu baada ya kuambulia patupu kwa kukosa hata kombe moja japokuwa kikosi cha timu hiyo kinatajwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hii ndiyo hatma ya Benitez Real Madrid, Ancelotti anena kuhusu kurudi Madrid na Menzes kuhusu uhamisho wa Ronaldo

rafa-benitez-579850

Kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Hatimaye hatma ya kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez imefahamika baada ya kuwepo sintofahamu kama anabaki katika klabu hiyo au anaondoka kufuatia kipigo cha mbwa mwizi cha goli 4 bila kutoka kwa wapinzani wao wakubwa Barcelona.

Usiku wa jumatatu, Rais wa Real Madrid, Florentino Perez amesema kuwa kubarua cha kocha Benitez kipo salama na ataendelea na kazi yake kama kawaida licha ya uvumi kuwa anafukuzwa kazi kutokana na kipigo...

 

9 years ago

Bongo5

Rafael Benitez atimuliwa Real Madrid, nafasi yake yachukuliwa na Zidane

2FC5C48900000578-3383931-image-a-52_1451919569762

Uongozi wa klabu ya Real Madrid hatimaye umemfukuza kocha wake Rafael Benitez ambaye amedumu kwa miezi 7 pekee.

2FCC0AEA00000578-3384137-image-m-40_1451939045866

Nafasi ya Benitez imechukuliwa na aliyekuwa mchezaji wa Ufaransa Zinedine Zidane ambaye awali alikuwa kocha wa kikosi B cha Real Madrid.

2FC5C48900000578-3383931-image-a-52_1451919569762

Hii ni kutokana na matokeo mabaya kwa timu hiyo, ambapo ilitoka sare 2-2 na Valencia, katika Mechi ya La Liga, sare ambayo imewaacha vigogo hao nafasi ya 3 wakiwa nyuma ya Atletico Madrid kwa pointi 4.

Tangu atue Madrid, Benitez amekuwa hapendwi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Carlo Ancelotti amkemea wakala wa Bale

Mkufunzi wa kilabu ya Real Madrid amemtaka ajenti wa mchezaji Gareth Bale kufunga mdomo wake baada ya kusema kuwa wachezaji wenzake hawampigi pasii vya kutosha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwaka huu kamwe sitausahau - Carlo Ancelotti

Real Madrid imefanikiwa kufunga jumla ya magoli 178 kwenye mashindano yote na kuweka rekodi ya kufunga mabao mengi kwenye mwaka mmoja.

 

5 years ago

FOX Sports Asia

Chelsea 4-0 Everton: Carlo Ancelotti swept aside on Stamford Bridge return

Chelsea 4-0 Everton: Carlo Ancelotti swept aside on Stamford Bridge return  FOX Sports AsiaAncelotti succumbs to worst-ever defeat as former club Chelsea thrash Everton  Goal.comEPL Winners and Losers After Sunday's 2020 Week 29 Premier League Results  Bleacher ReportMatch report: Chelsea 4 Everton 0  Chelsea FCRoy Keane warns Carlo Ancelotti about Everton job in damning assessment of Chelsea loss  Daily StarView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Liverpool Echo

'He was right' - Carlo Ancelotti details private conversation with Liverpool boss Jurgen Klopp

'He was right' - Carlo Ancelotti details private conversation with Liverpool boss Jurgen Klopp  Liverpool EchoJurgen Klopp makes coronavirus admission as he explains Liverpool's Champions League loss  Mirror OnlineCoronavirus Spain: Atletico Madrid announce wage cuts and temporary redundancies  Daily MailAtlético Madrid officially announce pay cuts  Into The CalderonAtlético Madrid and Espanyol join Barcelona in cutting wages  The GuardianView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Bongo5

Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League

Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.

Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.

Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.

Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.

Jamie Vardy alikomboa bao moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani