Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rasmi: Ancelotti kuchukua nafasi ya Guardiola Bayern Munich

151220161033-guardiola-ancelotti-split-exlarge-169

Carlo Ancelotti (kulia) na Pep Guardiola (kushoto).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kwa kipindi cha miezi kadhaa iliyopita viongozi wa klabu ya Bayern Munich walikuwa wakifanya mazunguzmo na kocha wa sasa wa timu hiyo, Pep Guardiola ambaye alionekana kutohitaji kuendelea kuifundisha klabu hiyo ya Ujerumani huku tetesi zikisema kuwa anataka kwenda kufundisha timu za Wingereza hatimaye klabu ya Bayern Munich imempata mrithi wa Guardiola.

Kocha wa zamani wa Real Madrid,  Muitalia Carlo Ancelotti...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

FC Augsburg 0-4 Bayern Munich

Morocco's Mehdi Benatia scores as Bayern Munich beat Augsburg to go 10 points clear at the top of the Bundesliga.

 

11 years ago

BBCSwahili

Manchester 1-1 Bayern Munich

Man Untd ilihimili gonga gonga ya Bayern Munich na kutoka sare ya1-1 katika robo fainali ya ligi ya mabingwa.

 

10 years ago

Vijimambo

BARCELONA YAITANDIKA BAYERN MUNICH 3-0

Mlinda mlango wa Bayern Munich, Manuel Neuer akijaribu bila mafanikio kuuzia mpira uliopigwa na mshambuliaji mahiri wa FC Barcelona, Lionel Messi uliokwenda moja kwa moja nyavuni huku mabeki wake wakiwa hawana la kufanya.Mshambuliaji wa FC Barcelona, Neymar akiifungia timu yake bao la tatu nala ushindi huku mlinda mlango wa Bayern Munich, Manuel Neuer akiwa hana ujanja. Wakicheza katika uwanja wao wa nyumbani wa Nou Camp, FC Barcelona wamewatandika wageni wao Bayern Munich jumla ya mabao 3-0...

 

10 years ago

BBC

Manchester City 3-2 Bayern Munich

Morocco's Mehdi Benatia is sent off for Bayern Munich as Manchester City fight back to win 3-2 in the Champions League.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bayern Munich bingwa Ujerumani

Klabu ya soka Bayern Munich ya Ujerumani imenyakuwa ubingwa wa ligi kuu ya nchi hiyo kwa mara ya tatu mfululizo.

 

11 years ago

GPL

LIVE: BAYERN MUNICH 1, ARSENAL 1

Wafungaji: Bastian Schweinsteiger(Bayern München),Lukas Podolski (Arsenal) Champions League: Bayern v Arsenal - Lineups Bayern Munich: 1-Manuel Neuer; 21-Philipp Lahm, 4-Dante, 8-Javi Martinez, 27-David Alaba; 6-Thiago Alcantara, 31-Bastian Schweinsteiger; 10-Arjen Robben, 19-Mario Goetze, 7-Franck Ribery; 9-Mario Mandzukic…

 

11 years ago

Mwananchi

Man U yaibania Bayern Munich

>Manchester United na Barcelona zimeshindwa kutumia vizuri viwanja vyao vya nyumbani baada ya kulazimishwa sare 1-1 na Bayern Munich na Atletico Madrid katika michezo ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa jana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bayern Munich yaichabanga Arsenal

Arsenal imelimwa magoli 2-0 katika kipute cha kuania Ligi ya Mabingwa Ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni vita ya Barcelona na Bayern Munich

Kocha Pep Guardiola anarejea Nou Camp kuiongoza Bayern dhidi ya Timu yake ya zamani Barcelona kwenye Nusu Fainali ya Uefa champions ligi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani