Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Huu ni mwaka dume!

Na Rashid Abdallah Ndio! Ni kweli! Halinashaka kabisa! Kuwa CCM na raisi Jakaya na watangulizi wake wameshindwa kabisa kuikwamua Tanzania. Kama ni jahazi basi tungesema jahazi la CCM limelala upande mmoja na wala si ajabu kuwa […]

The post Huu ni mwaka dume! appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

OYA MWANAUME, HUU MWEZI DUME JIKAZE KIUME!

Mambo vipi wakubwa? Inakuwaje wazazi hapo kwa fasi ya kitaa ya kati? Saidi hii ni mpango mzima. Unataka mambo matamtamu? Kaa humu wewe uwe mjanja. Mimi si ndo mjanja wenu? Basi barida. Ama nini? Ebana mambo ya mapanya rodi sijui mapaka rodi hebu tuyapige dauni tusiwape kiki kiivo. Zaidi ya hapo tukimbizane na hili laifu hadi kieleweke chaliiangu. Ebana wanangu kama mtu hukujipanga inabidi tukupange maana wewe utatumbuaje hadi...

 

11 years ago

Dewji Blog

TANROADS Singida yatumia zaidi ya sh 5.1 B kutengeneza barabara zake Julai mwaka jana na februari mwaka huu

DSC07622

Mkuu wa mkoa wa Singida na mwenyekiti wa bodi ya barabara, Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua kikao cha bodi ya barabara cha 36 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa VETA mjini Singida. Kulia (aliyekaa) ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan.

DSC07610

Meneja wa wakala wa barabara mkoa wa Singida (TANROADS), Mhandisi Yustaki Kangole, akitoa ufafanuzi juu ya sheria zinazotawala akiba/hifadhi  ya barabara kwenye kikao cha 36 cha bodi ya barabara mkoa wa Singida.

DSC07617

Mbunge wa jimbo la...

 

11 years ago

Michuzi

Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu

Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili { Donor Conference } kwa ajili ya kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar unatarajiwa kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu hapa Zanzibar baada kukamilika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Prof Mwandosya; Mwaka 2005 nilikuwa wa tatu mwaka huu ikulu zamu yangu, ataka wagombea wenzake wasiogope kuelezwa maovu

Waziri asiye na Wizara maalum Prof Mark Mwandosya akiwapungua mkono baadhi ya wahudumu wa uwanja wa Ndege wa Nduli Iringa wakati akiondoka mkoani Iringa kuelekea mkoani Tabora kutafuta  wadhamini kwa ndege hiyo ya kukodi. Waziri Prof Mwandosya  akitafakari jambo. Dereva  wa gari la Prof Mwandosya  Iringa akipata picha ya kumbukumbu na kuagana na rubani wa ndege aliyokodi Waziri huyo. Wadhamini wa Prof Mwandosya  wakiagana na waziri huyo. Waziri Prof. Mwandosya  na mkewe akishuka...

 

10 years ago

GPL

JB KUPUMZIKA SANAA MWAKA HUU

Imelda Mtema
STAA wa filamu za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’ atafanya kazi moja ya mwisho mwaka huu kisha ataachana kabisa na fani ya uigizaji ili afanye vitu vingine kuendesha maisha yake. Chanzo cha karibu kililiambia gazeti hili kuwa JB amepata mkataba wa kufanya kazi nje ya nchi katika kampuni moja ya matangazo, hivyo kuna vitu muhimu anavimalizia kabla ya kuelekea huko baadaye mwaka huu.  ...Soma...

 

11 years ago

BBCSwahili

Je TZ itamaliza ukame mwaka huu?

Wanamichezo watakaowakilisha TZ katika michezo ya Jumuiya ya Madola mjini Glasgow, chatangazwa

 

11 years ago

GPL

UTAJIRI MWAKA HUU UNAWEZEKANA?

MWANDISHI, ERIC SHIGONGO KUNA mkanganyiko mkubwa sana kwa watu unapotamka neno utajiri. Wengi wana tafsiri zisizofanana unapotaka maana halisi ya neno hili ambalo kila mmoja analihitaji sana. Kitu kikubwa kinachochukuliwa na kila mmoja katika kutafsiri neno hili ni kuishi bila kuwa na matatizo ya kifedha, kwa sababu kutokuwa nazo ni sawa na kuishi katika ndoto mbaya sana. Unajihisi vibaya na hata utendaji wako wa kazi pale ulipo...

 

10 years ago

Mwananchi

ACT:Huu ni mwaka wa upinzani

Mgombea wa urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mghwira jana alianza kampeni zake mkoani hapa, akisema mwaka huu ni wa vyama vya upinzani kuongoza nchi na kuipumzisha CCM iliyotawala zaidi ya miaka 50.

 

10 years ago

Michuzi

Kinyerezi I kukamilika mwaka huu

Kituo cha kuchakata na kuzalisha umeme kwa njia ya gesi cha Kinyezi I kimekamilika kwa asilimia 88 na kinatarajiwa kuzalisha umeme kuanzia Septemba mwaka huu.
Hayo yalisemwa na Meneja Mradi wa Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Simon Jilima akiwatembeza katika kituo hicho wanajopo la ukaguzi wa miradi kutoka Ofisi ya Raisi Tume ya Mipango walipotembelea mradi huo.   
“Kazi zinazoendelea kwa sasa ni ufungaji wa mifumo katika mitambo; na njia za kusafirisha umeme...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani