JOSE MOURINHO SACKED AS CHELSEA MANAGER AND GUUS HIDDINK LINED UP TO REPLACE HIM
![](http://1.bp.blogspot.com/-9D8C1VCyEE0/VnLxfhiyUAI/AAAAAAAAEOM/YqU8QVv2JCg/s72-c/jose-mourinho.jpg)
Jose Mourinho was sacked as Chelsea manager on Thursday afternoon after a dreadful run of results which has left his side stranded in 16th place in the Premier League table. Chelsea will now look to Guus Hiddink, as reported by Telegraph Sport on Wednesday, to replace the manager on a short-term basis.
The next permanent Chelsea manager will likely be appointed next summer, with candidates including Diego Simeone, Pep Guardiola and Carlo Ancelotti all in the frame. Mourinho's second reign in...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Guus Hiddink achukua mikoba ya Mourinho Chelsea
Kocha mpya wa Chelsea, Guus Hiddink.
Aliyekuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Uholanzi, Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kaimu meneja wa Chelsea hadi mwisho wa msimu huu.
Hiddink ameteuliwa baada ya Jose Mourinho kutimuliwa Alhamisi iliyopita.
“Nimefurahia kurejea Stamford Bridge. Chelsea ni moja ya klabu kubwa duniani lakini haipo pale inakofaa kuwa kwa sasa. Hata hivyo nina uhakika tunaweza kubadilisha mambo,” amesema Hiddink baada ya kuteuliwa.
“Nasubiri kwa hamu kufanya kazi na wachezaji na...
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Guus Hiddink aanza mazungumzo na Chelsea
9 years ago
Bongo521 Dec
Guus Hiddink ateuliwa kuwa kocha mpya Chelsea
![151219081747_guus_hiddink_file_512x288_pa_nocredit](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/151219081747_guus_hiddink_file_512x288_pa_nocredit-300x194.jpg)
Aliyekuwa meneja wa timu ya taifa ya Uholanzi Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kocha mpya wa Chelsea hadi mwisho wa msimu.
Ameteuliwa baada ya Jose Mourinho kufukuzwa kazi Alhamisi.
“Nimefurahia kurejea Stamford Bridge. Chelsea ni moja ya klabu kubwa duniani lakini haimo pale inakofaa kuwa kwa sasa. Hata hivyo nina uhakika tunaweza kubadilisha mambo,” amesema Hiddink baada ya kuteuliwa. “Nasubiri kwa hamu kufanya kazi na wachezaji na wakufunzi wenzangu wapya katika klabu hii kubwa na kufufua...
9 years ago
Dewji Blog20 Dec
Hatimaye Chelsea yamtangaza Guus Hiddink kuwa meneja mpya wa timu hiyo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ikiwa zimepita siku tatu tangu uongozi wa klabu ya Chelsea kumtimua kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mreno Jose Mourinho hatimaye taarifa zimetoka ndani ya timu hiyo kuwa, Mholanzi Guus Hiddink (pichani) amekuwa meneja mpya wa klabu hiyo ya Uingereza.
Katika taarifa iliyotolewa na ukurasa wa klabu hiyo wa Twitter umeeleza kuwa Hiddink atakuwa meneja wa Chelsea mpaka mwisho wa msimu huu wa 2015/2016.
Hiddink hii siyo mara yake ya kwanza kuifundisha timu hiyo ya...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Hii ni mipango mingine ya meneja wa Chelsea Guus Hiddink kwa klabu yake…
Pamoja na mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Chelsea kupoteza matumaini ya kutwaa ubingwa kwa mara nyingine lakini kocha wao mpya Guus Hiddink ana mipango mingine ya ushindi. Baada ya ushindi wa jana wa mabao 3-0 Hiddink amesema klabu yake hiyo inaweza kumaliza ligi hiyo ikiwa katika nafasi nne bora za juu mwishoni mwa […]
The post Hii ni mipango mingine ya meneja wa Chelsea Guus Hiddink kwa klabu yake… appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo509 Jan
Meneja wa Chelsea, Jose Mourinho ashtakiwa na FA
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Jose Mourinho afutwa kazi Chelsea
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt42Tdu2A*VY5D3hYkdK8MRWZwsyeGjOUoBg7Ck74ef4g5O4NudAokORX75fizyCj9hVHGJK1ipc12jz*nTTOGsg/JOSE.jpg)
JOSE MOURINHO AONGEZA MIAKA 4 CHELSEA
9 years ago
Bongo517 Dec
Kocha Jose Mourinho atimuliwa Chelsea
![José Mourinho](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Jos%C3%A9-Mourinho-300x194.jpg)
Chelsea imemtimua meneja wake Jose Mourinho.
Kocha huyo raia wa Ureno mwenye miaka 52, alikuwa akiifundisha Chelsea kwa awamu ya pili kuanzia June 2013.
Chelsea imekuwa na msimu mbaya zaidi kwa kufungwa mechi 16 hadi sasa.
Pep Guardiola, Guus Hiddink, Brendan Rodgers na Juande Ramos ni majina yanayotajwa zaidi kushika nafasi yake.
Akiwa na Chelsea, kocha huyo alishinda ubingwa wa ligi kuu ya England mara tatu, mbili katika awamu yake ya kwanza kati ya mwaka 2004 na 2007.
Jiunge na...