CATHY, KUBADILI JINA KISA LINA MKOSI
![](http://api.ning.com:80/files/o-1NtXzEejJaoWtWo8ng2P1cg-YHvI5tkxQRqh0gmdZ4-6IzBmnPRHxgp7MCBYRoQC8mpwI0AbV70FPLTzv47JGL3tCqOzCn/candypdf.jpg)
Na Hamida Hassan MKONGWE wa filamu kitambo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amesema kuwa jina analotumia katika sanaa lina mkosi hivyo yuko kwenye mkakati wa kulibadilisha na kujipa jina lingine labda linaweza kumkaa vizuri. Staa wa filamu bongo Sabrina Rupia ‘Cathy'. Akizungumza na mwandishi wetu, Cathy alisema anaona jina hilo lina mkosi kwa sababu linazungumzwa vibaya na baadhi ya wasanii wenzake hata kama kuna kitu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Ni kweli hakuna mantiki ya kubadili jina la Taifa Stars
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), chini ya Rais wake Jamal Malinzi aliyeingia madarakani Oktoba 29, 2013, limekuwa katika harakati kadha wa kadha kuhakikisha mchezo huo unapiga hatua mbele. Kwa lengo...
11 years ago
Bongo504 Aug
Agnes Masogange apata uraia wa Afrika kusini na kubadili jina, sasa aitwa ‘Thando’
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-o_XNlmWrGZY/VOGCY0R-sdI/AAAAAAAHD5I/HzLPXtsupf4/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: UNATAKA KUFANYA TRANSFER (KUBADILI JINA) LA KIWANJA/NYUMBA, UTARATIBU WA HARAKA NI HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-o_XNlmWrGZY/VOGCY0R-sdI/AAAAAAAHD5I/HzLPXtsupf4/s1600/images.jpeg)
Watu wengi wamenunua viwanja/nyumba lakini mali hizo zimeendelea kubaki katika majina ya waliowauzia. Wapo ambao imepita hata miaka kumi tangu wanunue maeneo lakini bado hawajabadili jina kuingia jina lake. Zipo sababu nyingi zinazosababisha hali hiyo lakini moja ni watu kutokujua umuhimu wa kubadili jina kwa haraka.
Hapa sizungumzii tu kubadili jina isipokuwa nazungumzia kubadili jina kwa haraka. Kupitia makala haya napenda kuwaamsha...
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Kylie Jenner, Tyga kuachana kisa jina la Drake?
NEW YORK, Marekani
BAADA ya wiki kadhaa za furaha ya nyota wa muziki nchini Marekani, Tyga kumnunulia mpenzi wake, Kylie Jenner, gari aina ya Mercedes G Wagon alipofanya sherehe ya kukumbuka siku ya kuzaliwa kwake, hali imebadilika na kuwa ya huzuni.
Uhusiano wa wawili hao unaonekana kuingiwa na mdudu mbaya baada ya kutokea malumbano kati yao ambapo kwa mujibu wa mtandao wa Hollywood life, chanzo ni kwamba Tyga alimtukana mpenzi wake huyo kwa kumfananisha mambo mabaya na Drake.
Mtandao huo...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-393RB8L67uw/VSkgUxufGwI/AAAAAAAAaac/VOBM3x0ayd0/s72-c/jk823.jpg)
MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-393RB8L67uw/VSkgUxufGwI/AAAAAAAAaac/VOBM3x0ayd0/s640/jk823.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-riMQ3-qlTZs/VSkgUxBCNEI/AAAAAAAAaaY/zFfW6l5uG-s/s640/jk89.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AVxR5UeiMtw/VSkgW24dBCI/AAAAAAAAaao/0WxrEGDQO4Q/s640/meng879.jpg)
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mkosi wamwandama Brendan,Liverpool
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Kimwaga apata mkosi mwingine
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPHGEimLsZc157ZRXBf2Vzgypx7I7RW9V59oJ0V9qPh6JiMd*Snoq0RWTShu-fB4iG70mL7htOKx2O82poCZfOnt/Waziri.gif?width=650)
FAMILIA YA WAZIRI MKOSI TUPU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVlQ-5NTlQa4RGmpBNmQVaWX*oGiLpZ*rhLraM55*-4O9mPeMCFRBoNqUheiBhrS-4uWPu7lBlNbT*xH9SpvVEle/mbrazil.gif?width=650)
MBRAZILI WA YANGA ATUA NA MKOSI DAR