Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fabiano, Wilbard wanatoa picha gani kuelekea Madola?

TIMU za taifa za michezo itakayoshiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola mjini Glasgow, Scotland, kwa sasa zipo kambini kwa maandalizi ya mwisho. Ni maandalizi ya mwisho kwa vile tayari mashindano...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Fabiano, Naali kukimbia

Wanariadha Fabiano Joseph, Alphonce Simbu na Mary Naali ni miongoni mwa wanariadha maarufu nchini waliothibitisha kushiriki mbio za Uhuru Marathon zilizopangwa kufanyika Desemba 7 jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Bongo5

Zari: ‘Mkanda wa ngono kitu gani’ afurahia likizo na wanae (Picha)

Kuvuja kwa mkanda wake wa ngono hakujamzuia Zari ‘the Bosslady’ Tlale kufurahia muda bora na wanae wakati huu wa likizo za sikukuu za Christmass. Zari mwenye watoto watatu, ameonesha kutoyumbishwa na kusambaa kwa mkanda huo na leo amepost picha akiwa na wanae wakifurahia chakula pamoja. “Current situation…… school is closed most offices are closed, time […]

 

11 years ago

CloudsFM

Picha> Baadhi ya wasanii wa bongo movie wakielezea ni jinsi gani wanaiaminia Tanzania

Ray msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....Wolper msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....

Mchopa msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....

Uwoya msanii toka Bongo Movie akielezea ni jinsi gani yeye anaiaminia Tanzania....

 

9 years ago

Bongo5

Tazama picha za Halloween za mastaa wa Marekani, zifahamu pia sherehe hizo zina maana gani

Alicia Keys na SwKama wewe ni mtumiaji mzuri wa Instagram, bila shaka siku za hivi karibuni hasa Jumapili na Jumatatu hii umekuwa ukiona picha za mastaa kibao wa Marekani wakiwa wamevaa nguo za ajabu ajabu na kuandika #Happy Halloween! Alicia, Swizz Beatz na familia yao Tunaamini umeona pia baadhi ya watanzania wakiwa wamevaa nguo za aina hiyo na […]

 

10 years ago

Vijimambo

ANGALIA PICHA: BAWACHA WALIPOANDAMANA KUELEKEA IKULU, HALIMA MDEE AKAMATWA NA POLISI

Mwenyekiti wa BAWACHA ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kawe kupitia CHADEMA Halima Mdee akiwa katika maandamano akiwaongoza wanawake wenzake kuelekea Ikulu kumpelekea ujumbe Rais Jakaya Kikwete kwamba hasikubali kuweka saini Rasimu mpya iliyopitishwa juzi mjini Dodoma, maandamano hayo kabla hayajafika mbali walitawanywa na jeshi la polisi lililotumia maji ya kuwasha pamoja na kupigwa kwa waandamanaji na kumshika mwenyekiti huyo Halima Mdee pamoja na wafuasi wake na kupelekwa polisi Osterbay...

 

10 years ago

Tanzania Daima

WILFRED WILBARD: Ulemavu si mkosi wala laana

“WATOTO wenye  ulemavu tunakabiliwa na changamoto nyingi katika  maisha yetu  ikiwemo kubaguliwa, kunyanyapaliwa na kuonekana kama mzigo mkubwa kwa jamii hata kwa baadhi ya wazazi wetu” “Ulemavu sio laana wala...

 

10 years ago

Vijimambo

IBADA YA KUMBUKUMBU NA SHUKURANI YA MAISHA YA MAREHEMU MR. WILBARD W. KENTE DMV

Familia ya Deo na Mamertha Mosha pamoja na Henry Kente wanawakaribisha kwenye Ibada ya kumbukumbu na shukrani ya maisha ya marehemu Baba yao mpendwa Mr. Wilbard W. Kente, aliyefariki na kuzikwa tarehe 2/4/2015 huko Dar-es-Salaam, Tanzania. 

Ibada itafanyika hapa Washington, DC Jumamosi, tarehe 21 March, 2015 kuanzia saa tisa mchana (3 pm) Anuani ya kanisa ni Universal Holiness Church 2426 Elvans Rd. SE,Washington, DC 20020 
Kwa habari zaidi, unaweza kuwasiliana na  Deo Mosha: 240 441...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani