Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tazama picha za Halloween za mastaa wa Marekani, zifahamu pia sherehe hizo zina maana gani

Alicia Keys na SwKama wewe ni mtumiaji mzuri wa Instagram, bila shaka siku za hivi karibuni hasa Jumapili na Jumatatu hii umekuwa ukiona picha za mastaa kibao wa Marekani wakiwa wamevaa nguo za ajabu ajabu na kuandika #Happy Halloween! Alicia, Swizz Beatz na familia yao Tunaamini umeona pia baadhi ya watanzania wakiwa wamevaa nguo za aina hiyo na […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Halloween ni sherehe gani? Tunaweza kusherehekea pia? Fahamu ukweli juu yake

Kama wewe ni mtumiaji mzuri wa Instagram, bila shaka siku za hivi karibuni hasa jana na leo umekuwa ukiona picha za mastaa kibao wa Marekani wakiwa wamevaa nguo za ajabu ajabu na kuandika #Happy Halloween! Tunaamini umeona pia baadhi ya watanzania wakiwa wamevaa nguo za aina hiyo na kuandika kitu hicho hicho. Lakini bado ukweli […]

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA:Sherehe ya Kuzaliwa ya Mtoto wa Wastara ya Hudhuriwa na Mastaa Kadhaa

Siku ya leo, mwigizaji  wa filamu, Wastara Juma alimfanyia sherehe mtoto wake wa kiume aitwae Faris ,ambae siku ya leo amefikisha umri wa miaka 10 yakuzaliwa.

Sherehe hiyo iliudhuriwa na baadhi ya waigizaji wakubwa kama, Bond Bin Sinnan amabe ni mtangazaji na muigizaji na Salma jabu “Nisha” na wengine wengi.

Hizi ni baadhi ya picha za sherehe hiyo. Tunamtakia maisha marefu kijana huyu na tungependa aje kuinga kwenye tasnia hii ya filamu.

Wastara anauliza: “Kafanana na nani huyu mtoto...

 

10 years ago

Bongo5

Zifahamu talaka 5 aghali zaidi za mastaa wa Hollywood

Wakati ambapo Chris Rock na mke wake wa zaidi ya miaka 18, Malaak Compton-Rock wakipeana talaka, mtandao wa Page Six umetoa orodha ya talaka tano zilizogharimu fedha nyingi zaidi. Nazo ni: Mel Gibson na Robyn Moore Mastaa hawa walioana kwwa kipindi cha miaka 28 kabla ya kuamua kuachana. Baada ya talaka yao kuwasilishwa, Robyn alipewa […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Smartphones zina athari gani kwa watoto?

Wazazi wengi hawana habari kuhusu hatari zinazowakabili watoto wao wanapotumia Tablets au Tabiti na simu za Smartphones.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhuru una maana gani?

Thailand ndio nchi ya tatu duniani inayoongoza kwa kusafirisha nje mazao ya baharini.Je unajua kama mabaharia wengi ni watumwa?

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhuru una maana gani kwako?

Ikiwa ni msimu maaalum ambapo BBC inaangazia maswala ya uhuru tuliwaomba wasomaji wa habari kwenye mtandao kutuma picha zinazoonyesha maoni yao ya uhuru.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Dhana potofu mitandaoni zina athari gani kwa watumiaji wa mitandao

Nadharia za uongo zimekuwa zikistawi kupitia mitandao ya kijamii hasa zinazohusu virusi vya corona - nyingi zimekuwa mitandaoni na kuleta athari za kiafya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magoti kwa Manji yana maana gani?

GUMZO kubwa katika medani ya soka ndani ya wiki iliyopita ni hatua ya baadhi ya wanachama wa klabu ya Yanga, wakiongozwa na Bakili Makele, kumwomba Mwenyekiti wao, Yusuf Manji abatilishe...

 

11 years ago

Mwananchi

Kuna maana gani kupoteza mabilioni haya kwa Katiba?

Bado najiuliza na sipati majibu kwamba, inakuwaje tuteketeze Sh100 bilioni kutengeneza Katiba Mpya ya wananchi inayotokana na maoni ya wananchi wakati watawala walishaweka msimamo wao?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani