Zifahamu talaka 5 aghali zaidi za mastaa wa Hollywood
Wakati ambapo Chris Rock na mke wake wa zaidi ya miaka 18, Malaak Compton-Rock wakipeana talaka, mtandao wa Page Six umetoa orodha ya talaka tano zilizogharimu fedha nyingi zaidi. Nazo ni: Mel Gibson na Robyn Moore Mastaa hawa walioana kwwa kipindi cha miaka 28 kabla ya kuamua kuachana. Baada ya talaka yao kuwasilishwa, Robyn alipewa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Nov
Tazama picha za Halloween za mastaa wa Marekani, zifahamu pia sherehe hizo zina maana gani
![Alicia Keys na Sw](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/Alicia-Keys-na-Sw-94x94.jpg)
11 years ago
Bongo522 Jul
Forbes: Waigizaji wa kiume wa Hollywood wanaolipwa fedha nyingi zaidi 2014
11 years ago
Bongo505 Aug
Forbes: Orodha ya waigizaji wa kike wa Hollywood waliolipwa pesa nyingi zaidi 2013-2014
11 years ago
CloudsFM29 May
TALAKA YENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI
Mmiliki wa club ya timu ya AS Monaco inayocheza ligi daraja la kwanza nchini Ufaransa Dmitry Rybolovlev ambaye pia anashika nafasi ya 148 katika list ya ma billionea wanaotajwa na Forbes Magazine.
Yeye pamoja na aliyekua mke wake Elena wamevunja rekodi ktk historia ya fidia za ndoa zilizowahi kuvunjika duniani.
Hiyo ni baada ya mahakama ya Geneva Switzerland hivi karibuni kumuamuru jamaa amlipe mtalaka wake zaidi ya dola bilioni 4.5
Ndoa hiyo ilidumu kwa miaka 23 na waliingia kwenye mchakato...
11 years ago
Dewji Blog22 May
Moja ya Talaka ghali zaidi duniani yaamuriwa katika mahakama ya Uswisi
-Mrusi Oligarch aamuruliwa kulipa zaidi ya dola 4.5 bilioni kwa mke wake wa zamani
Na Damas Makangale, wa modewjiblog kwa msaada wa mtandao
Mahakama nchini Uswisi imeamuru Dmitry Rybolovlev, mmiliki wa klabu maarufu ya Ufaransa, AS Monaco kumlipa zaidi ya dola za kimarekani 4.5 bilioni mke wake wa zamani Elena Rybolovleva katika kile kinasemwa kwamba ni moja ya talaka au usuluhishi wa ndoa ghali wa kihistoria duniani.
Mwenendo wa kesi hiyo ya ndoa ilianza mapena mwaka 2008 wakati mke wake...
10 years ago
GPL13 Jul
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Peter-Okoye-Lola-Okoye.jpg)
MASTAA WA KIUME WENYE MADEMU ‘VISU’ ZAIDI AFRIKA