HUYU NDIYE MSANII ALIYETOKA KIMAPENZI NA MASTAA ZAIDI YA 15
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo501 Nov
Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha
Baada ya kuachia video mpya ‘Njoo’ iliyoongozwa na director Enos Olik, Shaa amezungumzia mambo kadhaa kuhusu collabo hiyo mpya na star mkubwa wa Kenya, Redsan ikiwemo sababu za kumchagua kumshirikisha pamoja na mtu aliyemsaidia kumpata Redsan kiurahisi na kufanya nae kazi. Shaa amesema baada ya kufanya utafiti aligundua Redsan ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya ambaye […]
9 years ago
GPL14 Oct
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbLCz41BMWGSpCrnGHvq-IfYJEdo9dEpxVpUSmSjOLgCZ0XP3rBnVe9jYvxxTmPOSwHd5WFoMO8M0V9JAZSytuCO/KEISHA.jpg?width=650)
HUYU NDIYE 'SECOND BORN' WA MSANII KEISHA
STAA wa Bongo Fleva, Khadija Shaban ‘Keisha’ amejifungua mtoto wa kiume Jumatatu ya Mei 5 mwaka huu katika hospitali ya Mount Mkombozi iliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam. GPL inamtakia heri Keisha pamoja na mwanaye!
Keisha akipozi na mwanaye pamoja na watu waliofika…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania