Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Halloween ni sherehe gani? Tunaweza kusherehekea pia? Fahamu ukweli juu yake

Kama wewe ni mtumiaji mzuri wa Instagram, bila shaka siku za hivi karibuni hasa jana na leo umekuwa ukiona picha za mastaa kibao wa Marekani wakiwa wamevaa nguo za ajabu ajabu na kuandika #Happy Halloween! Tunaamini umeona pia baadhi ya watanzania wakiwa wamevaa nguo za aina hiyo na kuandika kitu hicho hicho. Lakini bado ukweli […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Tazama picha za Halloween za mastaa wa Marekani, zifahamu pia sherehe hizo zina maana gani

Alicia Keys na SwKama wewe ni mtumiaji mzuri wa Instagram, bila shaka siku za hivi karibuni hasa Jumapili na Jumatatu hii umekuwa ukiona picha za mastaa kibao wa Marekani wakiwa wamevaa nguo za ajabu ajabu na kuandika #Happy Halloween! Alicia, Swizz Beatz na familia yao Tunaamini umeona pia baadhi ya watanzania wakiwa wamevaa nguo za aina hiyo na […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Fahamu chimbuko la siku ya Maruhani “Halloween”

Na Swahilivilla blog. Washington D.C   Jana ililkuwa ni “Siku ya Maruhani” nchini Marekani. Siku hii ijulikanayo kama “Halloween” husherehekewa kila tarehe 31 Oktoba, na ina historia ndefu.   Siku ya Maruhani ilianzia huko barani Ulaya kiasi miaka 2,000 iliyopita ikifungamana na imani za kishirikina. Wazung walipoyavamia mabara ya Amerika walihamia pia na utamaduni mila, desturi, dini, na silka zao – na sema upendavyo. Miongoni mwa hayo ilikuwa ndiyo hii siku ya Maruhani ambayo jina lake la...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Vitu gani tunaweza kujifunza kwa nchi ambazo zimepambana mapema na corona?

Kuna uwezekano mkubwa wa kutokea kwa wimbi la pili baada ya kulegezwa kwa masharti

 

9 years ago

MillardAyo

VIDEO: Nay wa Mitego na ukweli wa DNA 2015, kawaongelea pia Shamsa FORD na Chagga Barbie

2015 ulikua ni mwaka wa headlines za mapenzi pia kwa staa mwingine kutoka kwenye bongofleva, Nay wa Mitego ambaye alikutwa na makubwa mpaka kuamua kwenda kufanya vipimo vya DNA ili kujua kama mtoto ni wake au wa Mwanaume mwingine, pia siku kadhaa baadae akawa mapenzini na staa wa movie Shamsa Ford, ukweli wote upo kwenye […]

The post VIDEO: Nay wa Mitego na ukweli wa DNA 2015, kawaongelea pia Shamsa FORD na Chagga Barbie appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Wasira anatumia kigezo gani kuutamka ushetani wa wapinzani

>Wakati joto la uchaguzi 2015 likiendelea  kupanda nchini, propaganda za kuwachafua wapinzani zinazidi kuongezeka.

 

9 years ago

Vijimambo

AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE


Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Fahamu ukweli wa madai ya kinyesi cha ng'ombe hutibu virusi

Kuna imani nyingi zinazosambaa mtandaoni juu ya tiba ya corona, mpaka kinyesi cha ng'ombe kinahusishwa.

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUSHEREHEKEA KUZALIWA KWA CCM ZA NOGA KAMA MCHARO NEW YORK LICHA YA THELUJI KUNYESHA SIKU MZIMA

 MH. Ridhiwani Kikwete akiongea kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi CCM sherehe zilizofanyika New York na kudhuliwa na wageni mbalimbali kutoka kila sehemu yenye tawi la CCM hapa Marekani. MH. Ridhiwani kikwete akiongea mbele ya wa Tanzania waliojitokeza kwenye sherehe hizo za kusherehekea miaka 38 ya kuzaliwa CCM na kuwapongeza kwa kujitokeza ingawa kulikuwa na theluji siku mzima. Mwenyekiti wa tawi la CCM New York akiongea kwenye sherehe hizo Bwana Isaac Kibodya akiongea kwa...

 

10 years ago

Africanjam.Com

UKWELI JUU YA MAJI UNAYOKUNYWA LEO

Maji unayokunywa leo yameshawahi kunywewa na mtu mwingine katika mzunguko wa matumizi ya maji duniani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani