Smartphones zina athari gani kwa watoto?
Wazazi wengi hawana habari kuhusu hatari zinazowakabili watoto wao wanapotumia Tablets au Tabiti na simu za Smartphones.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya corona: Dhana potofu mitandaoni zina athari gani kwa watumiaji wa mitandao
Nadharia za uongo zimekuwa zikistawi kupitia mitandao ya kijamii hasa zinazohusu virusi vya corona - nyingi zimekuwa mitandaoni na kuleta athari za kiafya.
9 years ago
Bongo502 Nov
Tazama picha za Halloween za mastaa wa Marekani, zifahamu pia sherehe hizo zina maana gani
![Alicia Keys na Sw](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/Alicia-Keys-na-Sw-94x94.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Uvivu una madhara gani kwa watoto?
Natumaini wajukuu zangu ni wazima wa afya, mkiwa bado baadhi yenu mnaendelea na mfungo wa Ramadhan. Leo wajukuu zangu nina mada nyepesi ambayo naamini inawagusa wengi.Kabla ya kuanza mada yetu ya leo ni vizuri tukafahamu maana ya uvivu.
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto?
Hoja yangu wiki iliyopita ni Serikali kutelekeza shule zake hadi inafikia hatua ya kukosa chakula na shule kufungwa ili watoto warudi nyumbani kukaa bila cha kufanya.
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto wetu?
WIKI kadha zilizopita tulishuhudia watoto wetu wakikatishwa masomo na kurudishwa nyumbani kwa sababu ya kukosa chakula shuleni. Pia baadhi ya shule na vyuo mlo wao ulibadilishwa; wakalizimika kula chakula mara chache ya utaratibu uliozoeleka au kula chakula chenye viwango duni.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD518jlq2IWfh-EW8rsaQQ38wKrU-Z902kTgv2FjnAce11WOZmYhQa-vs6mPwfdNoPXyAiMDnB68i0n-X7swhe*34Y/love1.jpg)
KAMA UMEMPENDA KWELI, WATOTO WAKE KITU GANI?
MAPENZI ni kitu cha ajabu sana. Ni hisia ambazo huibuka zilipojificha na huja zikiwa na nguvu ya hatari na kubwa mno tena ya ajabu. Hisia zisizokubali kupingwa kwa kile ambacho zimeamua. Hisia zisizokubali kurudi nyuma bali kwenda mbele katika kuhakikisha zinatimiza kusudio la kumpata ziliyedhamiria. Hisia zisizokuwa na macho zaidi ya macho kufunikwa na upofu, hisia zisizoweza kuchagua kama ziliyempenda ni mtu mwenye mtoto au...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xmkwWwSEP7Y/XmU8nQ84kmI/AAAAAAALiCs/TgpeF6h3ukAGEW716QyiyGdvuWFtKOIgACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TUNAWAHARIBU WATOTO WA KIUME TUNAJENGA TAIFA GANI: SAMIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto hasa wakiume ambao wamekuwa wakidhalilishwa kwa kuwaingilia kinyume na maumbile.
Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani humo.
Amewataka watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie kila mmoja kuwa katika mapambano haya ya kuondokana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
"Sasa hii...
Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani humo.
Amewataka watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie kila mmoja kuwa katika mapambano haya ya kuondokana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
"Sasa hii...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6qThBqLSmxY/VLCqm62OwxI/AAAAAAADVIg/ZruchJxBxh4/s72-c/10906308_10152680537202659_5784232182740264257_n.jpg)
TUWAPENDE WATOTO WETU BILA KUJALI WAMEZALIWA NA KASORO GANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-6qThBqLSmxY/VLCqm62OwxI/AAAAAAADVIg/ZruchJxBxh4/s1600/10906308_10152680537202659_5784232182740264257_n.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania