TUNAWAHARIBU WATOTO WA KIUME TUNAJENGA TAIFA GANI: SAMIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xmkwWwSEP7Y/XmU8nQ84kmI/AAAAAAALiCs/TgpeF6h3ukAGEW716QyiyGdvuWFtKOIgACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto hasa wakiume ambao wamekuwa wakidhalilishwa kwa kuwaingilia kinyume na maumbile.
Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani humo.
Amewataka watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie kila mmoja kuwa katika mapambano haya ya kuondokana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
"Sasa hii...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogSAMIA: VITENDO VYA KULAWITI WATOTO WA KIUME NI UKATILI NA UDHALILISHAJI WA WATOTO, LAZIMA VIKOMESHWE
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amekemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto hasa wa kiume ambao baadhi wamekuwa wakiwadhalilisha kwa kuwalawiti.
Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani hapa/
Makamu wa Rais amewataka Watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie na kuwa katika mapambano hayo ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
"Sasa hii tabia ya kuwageuza...
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Watoto wa kiume Culcutta sio dili
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Uvivu una madhara gani kwa watoto?
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
Smartphones zina athari gani kwa watoto?
10 years ago
Dewji Blog27 Sep
Wachungaji watatu 3 jijini Arusha wanashikiliwa na polisi kwa kulawiti watoto 6 wakiwamo 2 wa jinsia ya kiume
Kamanda wa Polisi Arusha, Liberatus Sabas.
Na Mwandishi wetu
WATOTO sita, wakiwemo wawili wa kiume wenye umri wa miaka 8 hadi 14 wameharibiwa vibaya sehemu zao za siri baada ya kubakwa kanisani na watu wanaodaiwa ni wachungaji.
Wakiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru walikopelekwa kwa matibabu na kuangaliwa maambukizi ya magonjwa ya zinaa, watoto hao walidai kufanyiwa mchezo huo kwa nyakati tofauti na wachungaji watatu wa kanisa hilo lililopo eneo la Feed Force, Kwamrombo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD518jlq2IWfh-EW8rsaQQ38wKrU-Z902kTgv2FjnAce11WOZmYhQa-vs6mPwfdNoPXyAiMDnB68i0n-X7swhe*34Y/love1.jpg)
KAMA UMEMPENDA KWELI, WATOTO WAKE KITU GANI?
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto?
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Tunajenga dimbwi la ujinga kuelekea umaskini
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto wetu?