Waafrika tumeumbwa kuzaana, wala siyo kuuana
Kinachotokea huko Sudan Kusini, Jamhuri ya Afrika ya Kati na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kina mwelekeo wa kutusogelea sisi watu wa Afrika Mashariki zaidi ya tunavyofikiria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7X1wIOHFtrxxFpT4bjrTlnO23H8BY2Q5kfppaOSLvHGuThV8b9hesxpcRNDt14rsi6U39FiGqOJ7DXIWM*viVayr6hhzezhc/p.txt.jpg?width=650)
JIDE MIMI SIYO YESU WALA BIKIRA MARIA!
9 years ago
Mwananchi01 Oct
MCHANGO WA MAWAZO : Siyo ubaya wa Lowassa wala uzuri wa Dk Magufuli
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Bila haki, siyo watu wala mali zitakuwa salama
10 years ago
Mwananchi03 May
SAFU: Urasta mwafrika mwenzangu siyo bangi, uchafu, uhuni wala ujambazi
10 years ago
Bongo Movies05 Jul
Keisha: Acha Kujidharau Tumeumbwa Kuwa Washindi
Staa wa bongo fleva ambaye ameshawahi kucheza filamu kadhaa za hapa Bongo, kwa sasa ameanza kujikita katika siasa za nchi Keisha amefunguka na kuwahamasisha vijana kujitambua pamoja na kuwataka kufanya maamuzi ambayo yanaweza kuwa na tija katika maisha yao kwa kuwataka kutojidharau wenyewe kwani wakijidharau hali hiyo itapelekea wao wenyewe kukata tamaa ya maisha na kushindwa kufanya mambo ya kimaendeleo. Keisha ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
"Uthubutu ni ile hali ya kuwa...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Wakulima, wafugaji wazidi kuuana Kilosa
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Polisi kuuana Mwanza, mapya yaibuka
Na Mwandishi Wetu, UWAZI
MWANZA: Bado Jiji la Mwanza limegubikwa na sintofahamu ya Polisi PC Daudi Elisha mwenye namba H 852 kumuua kwa kumpiga risasi askari mwenzake, PC Petro Matiko mwenye namba H 5990 kisha naye kujiua, mapya yameibuka.
Tukio hilo lililoitingisha Mwanza lilijiri saa 8 mchana wa Desemba 23, mwaka huu nje ya Benki ya Posta Tawi la Pamba.
Akizungumza na gazeti hili, kijana mmoja ambaye anadai alikuwa na ukaribu na PC Elisha, huku akiomba hifadhi ya jina lake, alisema...
10 years ago
Bongo524 Aug
New Video: Chris Bee f/ G Sacha & Silvia – Wala Wala