Keisha: Acha Kujidharau Tumeumbwa Kuwa Washindi
Staa wa bongo fleva ambaye ameshawahi kucheza filamu kadhaa za hapa Bongo, kwa sasa ameanza kujikita katika siasa za nchi Keisha amefunguka na kuwahamasisha vijana kujitambua pamoja na kuwataka kufanya maamuzi ambayo yanaweza kuwa na tija katika maisha yao kwa kuwataka kutojidharau wenyewe kwani wakijidharau hali hiyo itapelekea wao wenyewe kukata tamaa ya maisha na kushindwa kufanya mambo ya kimaendeleo. Keisha ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
"Uthubutu ni ile hali ya kuwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Waafrika tumeumbwa kuzaana, wala siyo kuuana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jfhY-uMyUa4/Xuw2fWWelTI/AAAAAAALug8/HUQzAHpHp5EdN_OqNkSE8C8FWpjnK3h3QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B6.11.44%2BPM.jpeg)
SERIKALI YATANGAZA WASHINDI WA MAKISATU, WASHINDI WA KWANZA KUJINYAKULIA KITITA CHA SH MILIONI TANO
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imetangaza washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU) kwa Mwaka 2020 ambayo kilele chake kilifanyika Machi 16-18 mwaka huu katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma na mshindi wa kwanza kujinyakulia kitita cha Sh Milioni Tano.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo wakati wa kutangaza washindi hao kutoka kada mbalimbali pamoja na zawadi watakazopata, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rh7DNKryBzw/VOhA8agUBaI/AAAAAAAHE5E/EglDLXGHMqw/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Airtel yamkabithi Mkazi wa Kyela Mbeya Bwana Edom Mwansasu gari Lake Baada ya kuibuka kuwa moja kati ya washindi wa wiki ya pili ya Airtel Yatosha Zaidi
10 years ago
Mtanzania13 May
Keisha: Sitamani kuzaa tena
NA SHARIFA MMASI
BAADA ya mashabiki wake kumtaka aongeze mtoto wa tatu, msanii wa Bongo Fleva, Khadija Shaban (Keisha), ameibuka na kuweka wazi kwamba hana mpango wa kuzaa tena kwa sasa.
Keisha aliliambia MTANZANIA kuwa, sababu kubwa inayomfanya asitamani kuongeza mtoto kwa sasa ni kutokana na kuwa na watoto wawili wa kiume wenye umri mdogo.
“Najua watu wengi wanapenda watoto na hata mashabiki wangu wanatamani sana niendelee kuzaa, kiukweli bado nahitaji kulea madume yangu, kwani umri wao...
10 years ago
CloudsFM30 Mar
Keisha anusurika kifo kwenye ajali
Msanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba,Posta jijini Dar.
Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake. Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali kufanyiwa vipimo vilionyesha hakupata majeraha kwa ndani.
‘’Nashukuru Mungu nilipimwa hospitali vipimo vilionyesha sikupata madhara...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/rQwfjDSwXas/default.jpg)
10 years ago
IPPmedia05 Jul
Songbird Keisha bids for Dodoma Special Seat
IPPmedia
IPPmedia
Singer Keisha at The Guardian Limited offices in Mikocheni when she came to announce the move. Bongo flavor artist Khadija Shabani well known as Keisha, has now decided to take a break and contest for Dodoma Region to become a Member of ...
10 years ago
Bongo Movies09 Mar
Riyama na Keisha Mzigoni Kupinga Mauaji ya Albino!!
Takribani kwa wiki mzima sasa Staa wa Bongo Movies, Riyama amekuwa akitoa ujumbe mzito akiitaka jamii kuacha na kupinga mauaji huku akisisitiza upendo kwa ndugu zetu mwenye ulemavu wa ngozi (Albinos) kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.
Siku ya jana Riyama alibandika picha hiyo hapo juu akiwa na mwanamziki Keisha ambae ni mlemavu wa ngozi na kuandika kuwa wapo kazini, kitu ambacho mashabiki wake wengi walijiongeza kuwa Riyama na Keisha watakuwa Lokeshani wakitengeneza...
9 years ago
Bongo Movies20 Aug
Keisha: Nimeshindwa Lakini Bado Sijaikatia Tamaa Siasa
Keisha ni mmoja wa wasanii walioshindwa kupitia kwenye kura za kuwapata wabunge wa viti maalum kupitia CCM lakini amesema hajakata tamaa.
Keisha ameiambia Bongo5 kuwa ingawa alishinda katika kura za maoni, katika kura za taifa aliibuka katika nafasi ya nne.
“Zile za kwanza zilikuwa ni kura za maoni nilishinda, then kulikuwa na kura za kitaifa ambapo nilikuwa mtu wa 4 katika watu 18,” alisema.
“Watu wanaotakiwa ni wawili, kwahiyo wawili ndio walioshida katika upande wa walemavu. Basi...