Keisha: Sitamani kuzaa tena
NA SHARIFA MMASI
BAADA ya mashabiki wake kumtaka aongeze mtoto wa tatu, msanii wa Bongo Fleva, Khadija Shaban (Keisha), ameibuka na kuweka wazi kwamba hana mpango wa kuzaa tena kwa sasa.
Keisha aliliambia MTANZANIA kuwa, sababu kubwa inayomfanya asitamani kuongeza mtoto kwa sasa ni kutokana na kuwa na watoto wawili wa kiume wenye umri mdogo.
“Najua watu wengi wanapenda watoto na hata mashabiki wangu wanatamani sana niendelee kuzaa, kiukweli bado nahitaji kulea madume yangu, kwani umri wao...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJOPkFQ6Y5*UahcclfdL-kOa-4kJFIXSYMCMLOI5I*4tTs7ZS2u4xJsxzqgF6DIkLzgSqey9AUXWvhJe*R7sAnPF/kajala.jpg?width=650)
KAJALA KUZAA TENA!
10 years ago
Bongo Movies07 Aug
Nisha: Natamani Kuzaa Tena Ila….
Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye ni mama wa mtoto mmoja kiutani utani amefunguka kutamani kuzaa ila anahitaji ushauri azae na nani.
Nisha ambaye kwa sasa yupo nchini China, alitanhaza nia yake hiyo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.
"Mwaka huu mastaa wengi wamezaa na mimi nimetamani kuzaa tena dah.. lakini wakuzaa naye sasa nanii ... sponsor ana mkewe
gandalandizi?? atanifilisi...
Pls nishaurini jamaniii nna hamu kweliii...Niolewe na kuzaa na sponsor...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSWRjKmCeQwv4wmvozo0et-ym1AcBuUz3vELZQkCIpFyruHpg-O780*GlUXicceZ8GkSYWzqrtK4sRutU7HLKyw4/FRONTIJUMAA.jpg?width=650)
DAKTARI: KAJALA HAWEZI KUZAA TENA!
10 years ago
CloudsFM23 Feb
Keisha akizungumza kwa uchungu kwenye kipindi cha Leo Tena kuhusiana na matukio ya mauaji ya Albino yanayoendelea hapa nchini
Msanii wa Bongo Fleva,Keisha akizungumza kwa uchungu kwenye kipindi cha Leo Tena kuhusiana na matukio ya mauaji ya Albino yanayoendelea hapa nchini,wasanii wengine waliokuwepo ni Kajala,Shamsa Ford,Mwasiti na wengineo.
10 years ago
CloudsFM30 Mar
Keisha anusurika kifo kwenye ajali
Msanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba,Posta jijini Dar.
Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake. Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali kufanyiwa vipimo vilionyesha hakupata majeraha kwa ndani.
‘’Nashukuru Mungu nilipimwa hospitali vipimo vilionyesha sikupata madhara...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/rQwfjDSwXas/default.jpg)
10 years ago
IPPmedia05 Jul
Songbird Keisha bids for Dodoma Special Seat
IPPmedia
IPPmedia
Singer Keisha at The Guardian Limited offices in Mikocheni when she came to announce the move. Bongo flavor artist Khadija Shabani well known as Keisha, has now decided to take a break and contest for Dodoma Region to become a Member of ...
10 years ago
Bongo Movies05 Jul
Keisha: Acha Kujidharau Tumeumbwa Kuwa Washindi
Staa wa bongo fleva ambaye ameshawahi kucheza filamu kadhaa za hapa Bongo, kwa sasa ameanza kujikita katika siasa za nchi Keisha amefunguka na kuwahamasisha vijana kujitambua pamoja na kuwataka kufanya maamuzi ambayo yanaweza kuwa na tija katika maisha yao kwa kuwataka kutojidharau wenyewe kwani wakijidharau hali hiyo itapelekea wao wenyewe kukata tamaa ya maisha na kushindwa kufanya mambo ya kimaendeleo. Keisha ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
"Uthubutu ni ile hali ya kuwa...
10 years ago
Bongo Movies09 Mar
Riyama na Keisha Mzigoni Kupinga Mauaji ya Albino!!
Takribani kwa wiki mzima sasa Staa wa Bongo Movies, Riyama amekuwa akitoa ujumbe mzito akiitaka jamii kuacha na kupinga mauaji huku akisisitiza upendo kwa ndugu zetu mwenye ulemavu wa ngozi (Albinos) kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.
Siku ya jana Riyama alibandika picha hiyo hapo juu akiwa na mwanamziki Keisha ambae ni mlemavu wa ngozi na kuandika kuwa wapo kazini, kitu ambacho mashabiki wake wengi walijiongeza kuwa Riyama na Keisha watakuwa Lokeshani wakitengeneza...