Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Keisha: Sitamani kuzaa tena

K-Sher 2NA SHARIFA MMASI
BAADA ya mashabiki wake kumtaka aongeze mtoto wa tatu, msanii wa Bongo Fleva, Khadija Shaban (Keisha), ameibuka na kuweka wazi kwamba hana mpango wa kuzaa tena kwa sasa.
Keisha aliliambia MTANZANIA kuwa, sababu kubwa inayomfanya asitamani kuongeza mtoto kwa sasa ni kutokana na kuwa na watoto wawili wa kiume wenye umri mdogo.
“Najua watu wengi wanapenda watoto na hata mashabiki wangu wanatamani sana niendelee kuzaa, kiukweli bado nahitaji kulea madume yangu, kwani umri wao...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAJALA KUZAA TENA!

Stori: Imelda Mtema
MWIGIZAJI Kajala Masanja amefunguka kuwa anatamani kuongeza mtoto wa pili kwani tayari aliyenaye ameshakua vya kutosha. Mwigizaji wa filamu Bongo, Kajala Masanja akiwa na mwanaye Paula. Akipiga stori na mwandishi wetu, Kajala alisema anasaka mimba kwa namna yoyote ili mwanaye Paula apate mdogo wake hivyo suala hilo lipo katika mchakato yakinifu na mpenzi wake wa sasa ambaye hakupenda kumwanika jina...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha: Natamani Kuzaa Tena Ila….

Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye ni mama wa mtoto mmoja kiutani utani  amefunguka kutamani kuzaa ila anahitaji ushauri azae na nani.

Nisha ambaye kwa sasa yupo nchini China, alitanhaza nia yake hiyo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.

"Mwaka huu mastaa wengi wamezaa  na mimi nimetamani kuzaa tena dah.. lakini wakuzaa naye sasa nanii ...  sponsor ana mkewe
gandalandizi?? atanifilisi...

Pls nishaurini jamaniii nna hamu kweliii...Niolewe na kuzaa na sponsor...

 

10 years ago

GPL

DAKTARI: KAJALA HAWEZI KUZAA TENA!

Imelda mtema
MAJANGA juu ya majanga! Siku chache kufuatia kufanyiwa kipimo na kubainika kuna tatizo kwenye ubongo baada ya kupigwa chupa kichwani kwenye Klabu ya New Maisha, Masaki jijini Dar, mkali wa sinema za Bongo, Kajala Masanja ‘Kay’ amepata pigo lingine la daktari kumwambia hawezi kuzaa tena! Mkali wa sinema za Bongo, Kajala Masanja ‘Kay’. Kwa mujibu wa chanzo makini, Kajala alipewa maelezo...

 

10 years ago

CloudsFM

Keisha akizungumza kwa uchungu kwenye kipindi cha Leo Tena kuhusiana na matukio ya mauaji ya Albino yanayoendelea hapa nchini

Msanii wa Bongo Fleva,Keisha akizungumza kwa uchungu kwenye kipindi cha Leo Tena kuhusiana na matukio ya mauaji ya Albino yanayoendelea hapa nchini,wasanii wengine waliokuwepo ni Kajala,Shamsa Ford,Mwasiti na wengineo.

 

10 years ago

CloudsFM

Keisha anusurika kifo kwenye ajali

Msanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba,Posta jijini Dar.Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake. Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali kufanyiwa vipimo vilionyesha hakupata majeraha kwa ndani. ‘’Nashukuru Mungu nilipimwa hospitali vipimo vilionyesha sikupata madhara...

 

10 years ago

IPPmedia

Songbird Keisha bids for Dodoma Special Seat


IPPmedia
Songbird Keisha bids for Dodoma Special Seat
IPPmedia
Singer Keisha at The Guardian Limited offices in Mikocheni when she came to announce the move. Bongo flavor artist Khadija Shabani well known as Keisha, has now decided to take a break and contest for Dodoma Region to become a Member of ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Keisha: Acha Kujidharau Tumeumbwa Kuwa Washindi

Staa wa bongo fleva ambaye ameshawahi kucheza filamu kadhaa za hapa Bongo, kwa sasa ameanza kujikita katika siasa za nchi Keisha amefunguka na kuwahamasisha vijana kujitambua pamoja na kuwataka kufanya maamuzi ambayo yanaweza kuwa na tija katika maisha yao kwa kuwataka kutojidharau wenyewe kwani wakijidharau hali hiyo itapelekea wao wenyewe kukata tamaa ya maisha na kushindwa kufanya mambo ya kimaendeleo. Keisha ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram.

"Uthubutu ni ile hali ya kuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama na Keisha Mzigoni Kupinga Mauaji ya Albino!!

Takribani kwa wiki mzima sasa Staa wa Bongo Movies, Riyama amekuwa akitoa ujumbe mzito akiitaka  jamii kuacha na kupinga mauaji huku akisisitiza upendo kwa ndugu zetu mwenye ulemavu wa ngozi  (Albinos)  kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.

Siku ya jana  Riyama alibandika picha hiyo hapo juu akiwa na mwanamziki Keisha ambae ni mlemavu wa ngozi na kuandika kuwa wapo kazini, kitu ambacho mashabiki wake wengi  walijiongeza kuwa Riyama  na Keisha watakuwa Lokeshani wakitengeneza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani