SAFU: Urasta mwafrika mwenzangu siyo bangi, uchafu, uhuni wala ujambazi
Ethiopia imeelea ndani ya habari za kimataifa wiki hizi mbili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
LINAH: SIJAWAHI KUSAGANA WALA KUMTAMANI MWANAMKE MWENZANGU
STAA wa muziki wa kizazi kipya, Estalina Sanga 'Linah' akifunguka ndani ya GLOBAL TV ONLINE kuhusu mambo mbalimbali yakiwemo haya:
Mahusiano yake na msanii Amin, Skendo za usagaji, Bifu lake na Lady Jaydee , Amejifunza nini kutoka kwa msanii Ray C , Nini kinaendelea kati yake na Mchungaji Gwajima?, Mafanikio yake kimuziki
UNGANA NASI NDANI YA GLOBAL TV ONLINE, KWA VIDEO… ...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
11 years ago
Mwananchi09 Aug
MAONI: Sanaa siyo uhuni, tukuze vipaji
>Wakati vijana wa kizazi kipya walipoingia katika medani ya muziki, walijikita zaidi katika utamaduni wa magharibi, hali iliyokuwa haiendani na maadili na utamaduni wa Mtanzania, hivyo jamii iliichukulia muziki huo kama ni wa kihuni.
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Waafrika tumeumbwa kuzaana, wala siyo kuuana
Kinachotokea huko Sudan Kusini, Jamhuri ya Afrika ya Kati na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kina mwelekeo wa kutusogelea sisi watu wa Afrika Mashariki zaidi ya tunavyofikiria.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7X1wIOHFtrxxFpT4bjrTlnO23H8BY2Q5kfppaOSLvHGuThV8b9hesxpcRNDt14rsi6U39FiGqOJ7DXIWM*viVayr6hhzezhc/p.txt.jpg?width=650)
JIDE MIMI SIYO YESU WALA BIKIRA MARIA!
Supastaa wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo a.k.a Jide au Jaydee akipozi. Kutoka moyoni! Wakati kukiwa na maneno mengi juu ya madai ya kuvunjika kwa ndoa yake na prizenta maarufu Bongo wa Redio E-FM, Gardner G Habash ‘Kepteini’, supastaa wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo a.k.a Jide au Jaydee amefunguka kuwa naye si mkamilifu kwani siyo Yesu wala Bikira Maria. Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, wikiendi...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Bila haki, siyo watu wala mali zitakuwa salama
“Pale haki inaponyimwa, pale umaskini unapoimarishwa, siyo watu, wala mali watakuwa salamaâ€
9 years ago
Mwananchi01 Oct
MCHANGO WA MAWAZO : Siyo ubaya wa Lowassa wala uzuri wa Dk Magufuli
Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa 2015, kuna watu wanachanganya mambo.Ushabiki unakuwa mkubwa na wakati mwingine watu wanaacha kabisa kufikiri. Ni vyema ufafanuzi ukafanyika, ili twende sawa.
10 years ago
Vijimambo![](http://i232.photobucket.com/albums/ee185/syatherley/Rasta/th_Rasta.gif)
Marudio yaReggae Time ya Pride FM.......uRASTA (Aprili 18, 2015)
![Rasta photo Rasta.gif](http://i232.photobucket.com/albums/ee185/syatherley/Rasta/Rasta.gif)
Husikika kila Jumamosi kuanzia saa tisa kamili alasiri kwa saa za Afrika Mashariki Radio hii yasikika duniani kote kupitia tovuti www.878pridefm.com na kwa walio Marekani na Canada wanaweza kuisikiliza kwa kupiga namba 832 280 0658
10 years ago
Bongo524 Aug
New Video: Chris Bee f/ G Sacha & Silvia – Wala Wala
Tazama video ya mtangazaji wa redio ambaye pia ni muimbaji wa jijini Mbeya, Chris Bee ya wimbo wake ‘Wala Wala’ aliowashirikisha G Sacha na Silvia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania