Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Sanaa siyo uhuni, tukuze vipaji

>Wakati vijana wa kizazi kipya walipoingia katika medani ya muziki, walijikita zaidi katika utamaduni wa magharibi,  hali iliyokuwa haiendani na maadili na utamaduni wa Mtanzania, hivyo  jamii iliichukulia muziki huo kama ni wa kihuni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

SAFU: Urasta mwafrika mwenzangu siyo bangi, uchafu, uhuni wala ujambazi

Ethiopia imeelea ndani ya habari za kimataifa  wiki hizi mbili.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Tunahitaji tuzo za jumla za sanaa

>Katika hali ya kawaida, kwenye maisha yetu ya ya kila siku, binadamu anayehenyeka katika jambo fulani, faraja yake huja baada ya kugundua kwamba jitihada zake zimeonekana dhahiri na kutambulika.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Soko la sanaa haliko jukwaani pekee

>Kuna wakati kutokana na kuiva kwa vitengo vyetu katika tasnia fulani fulani ikiwemo hii ya sanaa, inatubidi kuingia katika kazi ya kufundisha ndugu zetu waliopo katika tasnia jinsi ya kwenda na hizi kazi walizonazo ili wasipotoke na hii ni kwa manufaa yao zaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Sanaa bado pana, acheni kubanana

>Siku za karibuni, hasa baada ya kugundulika kwa hii mitandao ya kijamii, kumekuwa na imani kubwa kwamba vijana wanaweza kutengeneza pesa nyingi kiurahisi kwa kutumia sanaa ya uigizaji na muziki na hata uanamitindo, baada ya kuwa maarufu na kukubalika na jamii husika.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Bajeti ya mwaka 2014/15 siyo endelevu

>Bajeti Kuu ya Serikali ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2014/15 iliwasilishwa bungeni mjini Dodoma jana, ambapo Serikali imeomba Bunge liidhinishe jumla ya Sh19.9 trilioni kwa matumizi ya kawaida na miradi ya maendeleo.

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akizindua mpango wa kuwainua vijana wenye vipaji vya sanaa mbalimbali ujulikanao kama Kinondoni Talent Search. Kulia ni Mwanamuziki, Peter Msechu na Emanuel Mathias ambaye ni mchekeshaji maarufu 'MC Pilipili ambao watasaidia kuratibu jinsi ya kuwatambua vijana hao katika wilaya hiyo.DC Makonda akiwa amekaa na wanakamati watakaoshughulikia  mpango huo....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tukuze sayansi kwa vitendo

KATIKA mashindano ya utafiti wa sayansi kwa wanafunzi wa somo hili nchini yaliofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Shule ya Lumumba ya mjini Unguja ilinyakua nafasi ya kwanza. Shule karibu...

 

10 years ago

Mwananchi

Tukuze utalii kwa kutangaza amani na usalama

Sekta ya utalii nchini, inaongoza kwa kuchangia pato la Taifa. Kwa Mkoa wa Arusha sekta hii ndiyo tegemeo la watu wengi. Imeweza kutoa ajira kwa sekta rasmi na hata ambazo zi rasmi.

 

11 years ago

Mwananchi

Dhana ya kikwetu kwetu itasaidia sanaa sanaa

Ukifikiria umoja, halafu ukitaka kuleta ubinafsi ndani yake, huku ukiangalia dhana yenyewe kwa juu juu unaweza ukahisi unachanganya mambo, lakini ukikaa kwa umakini na kuzitekeleza dhana hizi kwa utaratibu, utajikuta kwenye mafanikio makubwa sana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani