Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Sanaa bado pana, acheni kubanana

>Siku za karibuni, hasa baada ya kugundulika kwa hii mitandao ya kijamii, kumekuwa na imani kubwa kwamba vijana wanaweza kutengeneza pesa nyingi kiurahisi kwa kutumia sanaa ya uigizaji na muziki na hata uanamitindo, baada ya kuwa maarufu na kukubalika na jamii husika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Tunahitaji tuzo za jumla za sanaa

>Katika hali ya kawaida, kwenye maisha yetu ya ya kila siku, binadamu anayehenyeka katika jambo fulani, faraja yake huja baada ya kugundua kwamba jitihada zake zimeonekana dhahiri na kutambulika.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Soko la sanaa haliko jukwaani pekee

>Kuna wakati kutokana na kuiva kwa vitengo vyetu katika tasnia fulani fulani ikiwemo hii ya sanaa, inatubidi kuingia katika kazi ya kufundisha ndugu zetu waliopo katika tasnia jinsi ya kwenda na hizi kazi walizonazo ili wasipotoke na hii ni kwa manufaa yao zaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Sanaa siyo uhuni, tukuze vipaji

>Wakati vijana wa kizazi kipya walipoingia katika medani ya muziki, walijikita zaidi katika utamaduni wa magharibi,  hali iliyokuwa haiendani na maadili na utamaduni wa Mtanzania, hivyo  jamii iliichukulia muziki huo kama ni wa kihuni.

 

10 years ago

Mwananchi

Wadau: Biashara ya sanaa bado wizi mtupu

Licha ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuahidi kuwasaidia wasani katika kudhibiti wizi wa kazi zao, wadau wa sanaa nchini wamesema kuwa hawaridhishwi na adhabu zinazochukuliwa na vyombo vyenye mamlaka ya kulinda na kutetea haki za wasanii nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Hivi kweli bado tuko makini na kura ya maoni aprili 30?

Kujikwaa siyo kuanguka, bado tunaweza kubadili mawazo kwa maslahi ya Taifa Zikiwa zimesalia siku 42 kufika tarehe 1 Machi 2015, tarehe ambayo kwa mujibu wa kifungu cha 5 cha Sheria ya Kura ya Maoni ndiyo siku ambayo Asasi za Kiraia baada ya kupewa ruhusa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi zitaanza kutoa elimu ya uraia juu ya Katiba Inayopendekezwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue

MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na  Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...

 

11 years ago

GPL

MAPENZI KATIKA SURA PANA YA NYAKATI

UNAPOANZA safari ya mapenzi, shika muongozo huu na uuamini. Amini katika mapenzi siku zote. Siyo tu yenyewe kama maneno, bali mapenzi katika maana na mzani wake sahihi. Amini kuwa zipo nyakati ngumu kwenye safari yako lakini simamia ushindi wako. Ni lazima uyashinde mapenzi, yaani uvuke salama kwenye nyakati ngumu. Iwe kwa utengano au kuvuka pamoja, unachopaswa kuangalia ni kipi salama kwako. Kuvuka salama ni turufu ya kwanza,...

 

11 years ago

GPL

MAPENZI KATIKA SURA PANA YA NYAKATI NGUMU-2

Tupo kwenye mada yetu, somo hapo ni mapenzi katika maana pana ya nyakati ngumu. Kimsingi hizi zipo na huwezi kuishi siku zote za maisha yako bila kukabiliana nazo. Noa kichwa na ujiweke mkao wa kushinda. Changamoto zisikudondoshe, unatakiwa kuzishinda kwa tabasamu. Unapoingia katika nyakati ngumu siyo kila mtu unaweza kumweleza matatizo yako. Bora usimwambie yeyote. Jitahidi kulala na kuamka ukitafakari, pengine ukapata ufumbuzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Dhana ya kikwetu kwetu itasaidia sanaa sanaa

Ukifikiria umoja, halafu ukitaka kuleta ubinafsi ndani yake, huku ukiangalia dhana yenyewe kwa juu juu unaweza ukahisi unachanganya mambo, lakini ukikaa kwa umakini na kuzitekeleza dhana hizi kwa utaratibu, utajikuta kwenye mafanikio makubwa sana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani