Tukuze sayansi kwa vitendo
KATIKA mashindano ya utafiti wa sayansi kwa wanafunzi wa somo hili nchini yaliofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Shule ya Lumumba ya mjini Unguja ilinyakua nafasi ya kwanza. Shule karibu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Tukuze utalii kwa kutangaza amani na usalama
11 years ago
Mwananchi09 Aug
MAONI: Sanaa siyo uhuni, tukuze vipaji
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Kwa Magufuli, vita dhidi ya mafisadi iwe kwa vitendo
WAHENGA walinena; nyota njema huonekana asubuhi.
Maggid Mjengwa
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Kuelekea Ballon d’Or, tujikumbushe kwa video ya washikaji wakiwachambua Messi na Ronaldo kwa vitendo …
Bado siku 18 ili ifikie January 11 2016, siku ambayo tutashuhudia historia mpya ikiandikwa katika ulimwengu wa soka, kwani ndio siku ambayo tutamfahamu mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia kwa mwaka 2015, November 30 2015 yalitangazwa majina ya Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Neymar kuwa ndio waliofanikiwa kuingia katika hatua ya fainali ya […]
The post Kuelekea Ballon d’Or, tujikumbushe kwa video ya washikaji wakiwachambua Messi na Ronaldo kwa vitendo … appeared first on...
9 years ago
VijimamboMALINZI AFUNGA KOZI YA MAKOCHA LESENI C’ATOA ANGALIZO KWA WAHITIMU KUYATUMIA MAFUNZO KWA VITENDO
RAIS wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya wiki mbili ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kufunga mafunzo hayo, Malinzi amesema kuwa anasikitika kuona makocha wanapata mafunzo kama hayo lakini wanaenda kuweka vyeti vyao ‘makabatini’ na kuacha kufanyia kazi walichojifunza.
“Hiki mlichokipata kwenye mafunzo haya mnatakiwa...
11 years ago
MichuziWAHANDISI TANESCO WATEMBELEA KIWANDA CHA SAO HILL KWA MAFUNZO KWA VITENDO JUU UKAGUZI WA UBORA WA NGUZO
Ziara ya wahandisi hao wa TANESCO inalenga katika kuwawezesha katika kukabiliana na matumizi ya nguzo zisizo na ubora na ili kuongeza ufanisi na usalama katika zoezi la kusambaza umeme nchini.
Wahandisi hao wamepata fursa ya kutembela kiwanda cha Sao...
10 years ago
MichuziJK apokea vitabu vya sayansi kwa shule za Sekondari vilivyochapishwa kwa msaada wa watu wa marekani
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Tuboreshe makazi kwa vitendo
MAADHIMISHO ya siku ya makazi duniani yamefanyika jana duniani kote na kubeba kauli mbiu ya sauti kutoka makazi duni. Maadhimisho hayo yanatukumbusha kutumia fursa zitokanazo na ukuaji wa miji kwa...
11 years ago
MichuziTAI YATOA MAFUNZO KWA VITENDO JUU YA KUNAWA MIKONO NA KUSAFISHA KINYWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KILIMANI JIJINI DAR
Miradi yote ina lengo kuu la kupambana na magonjwa yanayoweza kuzuilika kama Magonjwa ya tumbo na...