Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanachama CCM Atangaza Kurudi CHADEMA, Aanika Mazito, "WAITARA Alinishawishi"

CHADEMA Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

CHADEMA Blog

Fredrick Sumaye Atangaza Rasmi kuwa Mwanachama wa Chadema.........Akabidhiwa Kadi na Mbowe

Waziri mkuu wa awamu ya tatu Mh.Fredirick Sumaye jana alitangaza rasmi kujiunga na chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) na akakabidhiwa kadi na Mwenyekiti wa chama hicho Mh.Freeman Mbowe. Sumaye ambaye wakati wa uchaguzi alitangaza kujiondoa CCM na kudai kuwa anaunga mkono mageuzi yanayofanywa na vyama vinavyounda katiba ya wananchi (UKAWA) bila kuweka wazi kuwa yuko

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM isitegemee kurudi Ikulu — CHADEMA

MWANACHAMA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Lilian Wassira, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kisitegemee kurudi Ikulu kutokana na matendo ya viongozi wake. Wasira alitoa kauli hiyo juzi katika...

 

11 years ago

GPL

MZUNGU WA TINDIKALI ZENJI...AANIKA MAZITO

Stori: Mwandishi Wetu
MMOJA wa wasichana wawili raia wa Uingereza waliomwagiwa tindikali na watu wawili ambao bado hawajajulikana mjini Zanzibar Agosti 7 mwaka jana, ameibuka na kuliambia gazeti la Daily Mail la nchini humo jinsi tukio hilo lilivyotokea. Katika mahojiano yaliyochapishwa na gazeti hilo Jumapili iliyopita, Katie Gee, ambaye ndiye alikuwa karibu zaidi ya mtu aliyewamwagia tindikali hiyo, alisema hadi sasa...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE LATIFA CHANDE WA CHADEMA ATANGAZA KUHAMIA CCM

Mbunge wa Viti Maalum  kupitia CHADEMA, Latifa Chande akitamka bungeni kukihama chama hicho kwa kusema anarejea nyumbani CCM Juni 15, 2020. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Grace Kiwelu na kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Risala Kabongo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Mbunge wa Viti Maalum  kupitia CHADEMA, Latifa Chande akitamka...

 

10 years ago

Mwananchi

Yaliyomkuta Waitara na Uchaguzi Chadema

Siku tatu zilizopita baadhi ya wanahabari nikiwemo na mimi, tulifanya mahojiano maalumu na mwasisi wa Chadema, Victor Kimesela kuhusu masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na historia ya chama hicho; kilipotoka, kilipo na kinapoelekea.

 

5 years ago

CCM Blog

WAITARA ASEMA CHADEMA KIMEKOSA AJENDA YA KISIASA.


CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)kimetajwa kukosa ajenda ya kisiasa na badala yake kimeamua kutumia ajenda ya janga la Corona linalosababisha homa kali ya mapafu(Covid 19)lililopo nchini kama mtaji wao wa kisiasa. 
Kutokana na hilo kimetakiwa kujiandaa kushindwa kwa asilimia kubwa katika uchaguzi mkuu unaotarajiwak ufanyika mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari Mei 22 jijini Dodoma mbunge wa Ukonga Mwita Waitara amesema chama hicho kilitaka kutumia janga la Corona kama mtaji...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Richard Bezuidenhout wa Big Brother atangaza kurudi kwenye ulimwengu wa filamu

Richard-1

Baada ya kutosikika kwa muda mrefu, mwakilishi wa Tanzania na mshindi wa msimu wa pili wa shindano la Big Brother Africa la mwaka 2007, Richard Bezuidenhout ametangaza kuvunja ukimya huo na kurejea kwenye ulimwengu wa filamu.

Richard-1

Richard ametumia akaunti yake ya Instagram kutangaza kuwa anarudi kwenye filamu. “Najua nilikua kimya saaaana. Sasa narudi rasmi kwenye muvies… stay tuned” aliandika Richard na kupost picha akiwa location.

Richard-2
On location of “mchumba sio atm machin”- Richard

Richard...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani