WAITARA ASEMA CHADEMA KIMEKOSA AJENDA YA KISIASA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-R2MDIeUWZ14/Xsi7f4FPXyI/AAAAAAABMKw/FD6LNPf3pBoo952mDXxcegzizZinzqvEgCLcBGAsYHQ/s72-c/waitara.jpg)
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)kimetajwa kukosa ajenda ya kisiasa na badala yake kimeamua kutumia ajenda ya janga la Corona linalosababisha homa kali ya mapafu(Covid 19)lililopo nchini kama mtaji wao wa kisiasa.
Kutokana na hilo kimetakiwa kujiandaa kushindwa kwa asilimia kubwa katika uchaguzi mkuu unaotarajiwak ufanyika mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari Mei 22 jijini Dodoma mbunge wa Ukonga Mwita Waitara amesema chama hicho kilitaka kutumia janga la Corona kama mtaji...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Yaliyomkuta Waitara na Uchaguzi Chadema
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/oGZO7s-EBWY/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
CHADEMA yaja na ajenda 9
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeamua kuwasha moto nchi nzima kwa wiki mbili mfululizo kuanzia leo, ukiwa ni mkakati wa kujiimarisha na kujadiliana na wananchi kuhusu masuala nyeti ya...
5 years ago
BBCSwahili29 May
Uhuru Kenyatta: Rais wa Kenya asema hatokubali kufanyakazi na wanaopinga ajenda yake serikalini
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Katiba iwe ajenda kwa wagombea CHADEMA
KATIKA hekaheka za uchaguzi zinazoendelea katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA), wanachama wengi wamejitokeza kugombea nafasi mbalimbali. Jicho langu kwa leo limeangazia katika uchaguzi wa wagombea wa nafasi ya...
10 years ago
Raia Mwema05 Aug
Tuambizane ukweli, Chadema kimeipoteza ajenda ya ufisadi
KUNA kitu ambacho viongozi wa sasa wa juu wa Chadema – Freeman Mbowe, Tundu Lissu, Profesa Baregu
Johnson Mbwambo
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/wmZChnwI4Uc/default.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-i-SYeenlO3Y/VmeITSy3biI/AAAAAAAAXYU/MgRAjhqnvv0/s72-c/FB_IMG_1449624581069.jpg)
MBUNGE WA CHADEMA JIMBO LA UKONGA MH. MWITA WAITARA AFANYA UKARABATI WA BARABARA JIMBONI UKONGA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s72-c/lusinde.jpg)
Vijembe Vya Kisiasa Vyatawala Bungeni......Lusinde Asema Dr Slaa Hafai Kuwa Rais Maana Ikulu Sio Wodi Ya Wagonjwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s640/lusinde.jpg)
VIJEMBE vya kisiasa jana vilichukua sehemu kubwa ya mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu unaoendelea, ambapo mvutano mkubwa ulikuwa kati ya Serikali na vyama vya upinzani nani amechoka.
Akizungumza bungeni kwa vijembe, Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), alisema hoja ya kambi rasmi ya upinzani kuwa Serikali imechoka, inawezekana ni kweli ila haikuwekwa vizuri.Alifafanua kuwa Serikali imefanya kazi kubwa ya kukopesha wanafunzi, kutoa huduma ya afya, kujenga barabara kusambaza...