Tuambizane ukweli, Chadema kimeipoteza ajenda ya ufisadi
KUNA kitu ambacho viongozi wa sasa wa juu wa Chadema – Freeman Mbowe, Tundu Lissu, Profesa Baregu
Johnson Mbwambo
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Vioja kampeni za urais kuhusu ajenda ya ufisadi
HAPO kale na kabla ya mfumo wa vyama vingi nchini, neno “ufisadi” lilikuwa halijulikani kwenye ms
Joseph Mihangwa
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
CHADEMA yaja na ajenda 9
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeamua kuwasha moto nchi nzima kwa wiki mbili mfululizo kuanzia leo, ukiwa ni mkakati wa kujiimarisha na kujadiliana na wananchi kuhusu masuala nyeti ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-R2MDIeUWZ14/Xsi7f4FPXyI/AAAAAAABMKw/FD6LNPf3pBoo952mDXxcegzizZinzqvEgCLcBGAsYHQ/s72-c/waitara.jpg)
WAITARA ASEMA CHADEMA KIMEKOSA AJENDA YA KISIASA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-R2MDIeUWZ14/Xsi7f4FPXyI/AAAAAAABMKw/FD6LNPf3pBoo952mDXxcegzizZinzqvEgCLcBGAsYHQ/s320/waitara.jpg)
Kutokana na hilo kimetakiwa kujiandaa kushindwa kwa asilimia kubwa katika uchaguzi mkuu unaotarajiwak ufanyika mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari Mei 22 jijini Dodoma mbunge wa Ukonga Mwita Waitara amesema chama hicho kilitaka kutumia janga la Corona kama mtaji...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Katiba iwe ajenda kwa wagombea CHADEMA
KATIKA hekaheka za uchaguzi zinazoendelea katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA), wanachama wengi wamejitokeza kugombea nafasi mbalimbali. Jicho langu kwa leo limeangazia katika uchaguzi wa wagombea wa nafasi ya...
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Ufisadi CCM, Chadema
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ameibua ufujaji wa mabilioni ya fedha kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Katika ripoti ya ukaguzi wa CAG kwa vyama hivyo aliyoikamilisha Septemba mwaka jana kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa namba tano ya mwaka 1992, sehemu ya 14 (1)(b) imeibua madudu hayo.
Taarifa hiyo ya CAG ambayo MTANZANIA imeiona, imechambua hesabu za Chadema na CCM na kusema wakati wa...
9 years ago
Mwananchi25 Nov
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Chadema mbioni kufa?
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
CHADEMA yafichua ufisadi wa Bil. 80
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimefichua tuhuma za ufisadi wa zaidi ya sh bilioni 80 zilizotolewa na Benki ya Dunia, kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo hapa...
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Nani adui wa CCM, Chadema au ufisadi?
HALI ya kisiasa nchini (kwa wakati huo makala hii ilipochapwa kwa mara ya kwanza – Desemba, 2012)
Msomaji Raia
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Nani aliidangaya Chadema iitose vita dhidi ya ufisadi?
MPAKA sasa kila nikitafakari nashindwa kuelewa nini hasa kilikuwa kinaendelea katika vichwa vya v
Johnson Mbwambo