Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuambizane ukweli, Chadema kimeipoteza ajenda ya ufisadi

KUNA kitu ambacho viongozi wa sasa wa juu wa Chadema – Freeman Mbowe, Tundu Lissu, Profesa Baregu

Johnson Mbwambo

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Vioja kampeni za urais kuhusu ajenda ya ufisadi

HAPO kale na kabla ya mfumo wa vyama vingi nchini, neno “ufisadi” lilikuwa halijulikani kwenye ms

Joseph Mihangwa

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yaja na ajenda 9

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeamua kuwasha moto nchi nzima kwa wiki mbili mfululizo kuanzia leo, ukiwa ni mkakati wa kujiimarisha na kujadiliana na wananchi kuhusu masuala nyeti ya...

 

5 years ago

CCM Blog

WAITARA ASEMA CHADEMA KIMEKOSA AJENDA YA KISIASA.


CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)kimetajwa kukosa ajenda ya kisiasa na badala yake kimeamua kutumia ajenda ya janga la Corona linalosababisha homa kali ya mapafu(Covid 19)lililopo nchini kama mtaji wao wa kisiasa. 
Kutokana na hilo kimetakiwa kujiandaa kushindwa kwa asilimia kubwa katika uchaguzi mkuu unaotarajiwak ufanyika mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari Mei 22 jijini Dodoma mbunge wa Ukonga Mwita Waitara amesema chama hicho kilitaka kutumia janga la Corona kama mtaji...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Katiba iwe ajenda kwa wagombea CHADEMA

KATIKA hekaheka za uchaguzi zinazoendelea katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA), wanachama wengi wamejitokeza kugombea nafasi mbalimbali. Jicho langu kwa leo limeangazia katika uchaguzi wa wagombea wa nafasi ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Ufisadi CCM, Chadema

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ameibua ufujaji wa mabilioni ya fedha kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Katika ripoti ya ukaguzi wa CAG kwa vyama hivyo aliyoikamilisha Septemba mwaka jana kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa namba tano ya mwaka 1992, sehemu ya 14 (1)(b) imeibua madudu hayo.
Taarifa hiyo ya CAG ambayo MTANZANIA imeiona, imechambua hesabu za Chadema na CCM na kusema wakati wa...

 

9 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Chadema mbioni kufa?

Malalamiko mengi yamezuka  hususani ugawaji wa viti maalumu ya ubunge na udiwani ndani  ya chama kikuu  cha upinzani nchini. Mitandoni maoni na malalamiko yamesheheni kiasi kwamba mtu unaweza kuanza kufikiria “Chadema mbioni kufa?”

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yafichua ufisadi wa Bil. 80

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimefichua tuhuma za ufisadi wa zaidi ya sh bilioni 80 zilizotolewa na Benki ya Dunia, kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo hapa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Nani adui wa CCM, Chadema au ufisadi?

HALI ya kisiasa nchini (kwa wakati huo makala hii ilipochapwa kwa mara ya kwanza – Desemba, 2012)

Msomaji Raia

 

9 years ago

Raia Mwema

Nani aliidangaya Chadema iitose vita dhidi ya ufisadi?

MPAKA sasa kila nikitafakari nashindwa kuelewa nini hasa kilikuwa kinaendelea katika vichwa vya v

Johnson Mbwambo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani