Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vioja kampeni za urais kuhusu ajenda ya ufisadi

HAPO kale na kabla ya mfumo wa vyama vingi nchini, neno “ufisadi” lilikuwa halijulikani kwenye ms

Joseph Mihangwa

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Tuambizane ukweli, Chadema kimeipoteza ajenda ya ufisadi

KUNA kitu ambacho viongozi wa sasa wa juu wa Chadema – Freeman Mbowe, Tundu Lissu, Profesa Baregu

Johnson Mbwambo

 

10 years ago

Mwananchi

Michezo, sanaa si ajenda za wanaotaka urais

Taifa liko kwenye kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu ambao utalipatia Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, wabunge na madiwani watakaoongoza kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ajenda muhimu kuhusu Oktoba 25 - hitimisho

KATIKA mfululizo wa makala hizi ambazo zililenga katika kubadilishana mawazo na wasomaji kwa leng

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA URAIS ZAANZA RASMI, TUME YATOA RATIBA ZA MAENEO NA MUDA WA KAMPENI


Tume ya Taifa ya uchaguzi inakutana na Kamati Maalumu inayo undwa na wajumbe kutoka vyama nane vilivyo na wagombea wa urais na makamo kuandaa Ratiba ya mikutano ya hadhara kurahisisha kubaini vyama vilivyopanga mkutano mmoja katika mkoa mmoja, wilaya moja, na Eneo moja kwa Tarehe mojaMkurugenzi wa NEC Kailima Ramadhani amesema anafarijika sana na ushirikiano wanaouonyesha Wawakilishi Wa vyama katika kuhakikisha mchakato kuwa wa Amani na utulivu bila kujali itikadi za vyama vyao kikao...

 

5 years ago

CCM Blog

TUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA


Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akitembea kwa miguu baada ya kumaliza kujinadi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya, AGOSTI 28,2015. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOGMgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi baada ya kumaliza kujinadi  katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwa na...

 

11 years ago

BBCSwahili

EU yaonya kuhusu ufisadi Ulaya

Kamishna wa bara ulaya anayesimamia maswala ya ndani ya bara hilo ameonya kuhusu viwango vikuu vya ufisadi miongoni mwa nchi wanachama wa bara hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanahabari aliyeandika kuhusu ufisadi Kenya akamatwa

Mwanahabari mashuhuri nchini Kenya anazuiliwa na maafisa wa usalama Kenya baada ya kudaiwa kuchapisha habari kuhusu tuhuma za ufisadi serikalini.

 

10 years ago

Michuzi

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHATOA TAARIFA KUHUSU AWAMU YA PILI YA KAMPENI YA KUSAMBAZA UELEWA WA RASIMU YA PILI-KAMPENI GOGOTA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Dk.Helen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa taarifa kuhusu awamu ya pili ya kampeni ya kusambaza uelewa wa rasimu ya pili (Kampeni Gogota). Kulia ni Mratibu wa Dawati la Katiba wa kituo hicho, Anna Henga na Mwanasheria wa Kituo hicho, Harold Sungusia.
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
Picha/Habari na Dotto Mwaibale
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani