Yaliyomkuta Waitara na Uchaguzi Chadema
Siku tatu zilizopita baadhi ya wanahabari nikiwemo na mimi, tulifanya mahojiano maalumu na mwasisi wa Chadema, Victor Kimesela kuhusu masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na historia ya chama hicho; kilipotoka, kilipo na kinapoelekea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-R2MDIeUWZ14/Xsi7f4FPXyI/AAAAAAABMKw/FD6LNPf3pBoo952mDXxcegzizZinzqvEgCLcBGAsYHQ/s72-c/waitara.jpg)
WAITARA ASEMA CHADEMA KIMEKOSA AJENDA YA KISIASA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-R2MDIeUWZ14/Xsi7f4FPXyI/AAAAAAABMKw/FD6LNPf3pBoo952mDXxcegzizZinzqvEgCLcBGAsYHQ/s320/waitara.jpg)
Kutokana na hilo kimetakiwa kujiandaa kushindwa kwa asilimia kubwa katika uchaguzi mkuu unaotarajiwak ufanyika mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari Mei 22 jijini Dodoma mbunge wa Ukonga Mwita Waitara amesema chama hicho kilitaka kutumia janga la Corona kama mtaji...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/oGZO7s-EBWY/default.jpg)
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/wmZChnwI4Uc/default.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-i-SYeenlO3Y/VmeITSy3biI/AAAAAAAAXYU/MgRAjhqnvv0/s72-c/FB_IMG_1449624581069.jpg)
MBUNGE WA CHADEMA JIMBO LA UKONGA MH. MWITA WAITARA AFANYA UKARABATI WA BARABARA JIMBONI UKONGA
10 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VwjPajbyPYM/VBYGNHuHZnI/AAAAAAADDa8/w_3TshBHAoo/s1600/WP_20140914_21_58_12_Pro__highres.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HG5Aa9bQe-c/VBYGNwW5hgI/AAAAAAADDbI/0LaVyaK69RA/s1600/WP_20140914_22_03_19_Pro.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zkazILlqtYY/VBYGORb9FrI/AAAAAAADDbQ/kDW2ga7xEMw/s1600/WP_20140914_22_03_52_Pro__highres.jpg)
11 years ago
CloudsFM03 Jun
HAPINESS MAGESE AELEZEA YALIYOMKUTA HADI AKAONDOLEWA KIZAZI CHAKE
Februari ya kila mwaka huenda ikawa ni kumbukumbu mbaya kwa mwanamitindo na Miss Tanzania 2001, Hapiness Millen Magese ambaye mwezi huo ndipo alipogundulika kuwa hataweza kupata mtoto katika maisha yake yote.
Hali hiyo ndio imemlazimu mwanamitindo huyo kuanzisha taasisi ya kuwasaidia wanawake wengine hapa nchini ili waepuke kile ambacho kimemkuta yeye baada ya kuondolewa uzazi kwa ugonjwa ambao hapendi kusikia unamtokea mwanamke mwingine.
"Nikiwa sekondari nilikuwa napatwa na ugonjwa ambao kwa...
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Yaliyomkuta Harmonize baada ya kupanda kwenye stage mara ya kwanza Dec 25…(+Video)
Dec 25 2015 Msanii Harmonize kutokea Wasafi Classic Baby (WCB) aliandika historia nyingine katika maisha yake ya muziki, ambapo kwa mara ya kwanza alipanda kwenye stage toka aachie hit song ya ‘Aiyola’ Shangwe lilifanyika Tanga, Tanzania. Licha ya yote, kuna mambo yalitokea na hakuyapenda. Unaweza kubonyeza Play hapa chini kuitazama video yote. Unataka kutumiwa MSG […]
The post Yaliyomkuta Harmonize baada ya kupanda kwenye stage mara ya kwanza Dec 25…(+Video) appeared first on...
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Uchaguzi CHADEMA wapongezwa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepongezwa kutokana na kuonyesha ukomavu wa kisiasa katika chaguzi zake huku ikiikataa rushwa kwa vitendo bila kuhofu kupoteza wanachama. Akizungumza na Tanzania Daima jana,...