Viongozi Azam wataka kuchapana hadharani
![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-heLCyGBlOSDBx5FaXcBxUmtcblc2oT0SmzwjobfqYQgwfaDG81gTLj1tqFfW0PRDaXVehjMzqjfyqPGH6UxcmIp/vingoz.jpg?width=650)
Viongozi wa Azam wakilumbana. Waandishi Wetu,Dar es Salaam HALI ya sintofahamu imetokea ndani ya Klabu ya Azam ambapo viongozi kadhaa wa timu hiyo juzi walivurugana hadharani na kutaka kutwangana makonde baada ya mchezo wao dhidi ya Mbeya City, kwenye Uwanja wa Azam Complex nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Tafrani hiyo ilitokea baina ya Meneja wa Azam FC, Jemedali Said na Mkurugenzi wa Ufundi wa Azam FC, Saady Kawemba...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ESAh06ugGB8/XvB3-ol2ATI/AAAAAAALu5A/v2oNIcCo0SwWYhFy3sX4oDOZtXXSnbbrACLcBGAsYHQ/s72-c/NGOLE.jpg)
CCM wataka mwanachama atakaye kutwa na rushwa akamatwe hadharani
10 years ago
BBCSwahili13 Dec
Mayweather kuchapana na Pacquiao Mei 2
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Viongozi wa mashitaka wataka nahodha akamatwe
10 years ago
Habarileo19 Jul
Viongozi wa dini wataka wanasiasa kukubali matokeo
WAKATI Waislamu mkoani Kigoma wakiungana na wenzao duniani kusherehekea Sikukuu ya Idd el Fitr, viongozi wa dini na mashehe wamewataka wanasiasa waliojitokeza kugombea nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu, kukubali matokeo ili kudumisha amani ya nchi yetu.
10 years ago
Dewji Blog29 Aug
Viongozi, wanaharakati wataka Katiba Mpya imtambue mtoto na haki zake
![Mwenyekiti wa Mtandao wa Mashirika yanayofanya kazi na Watoto Tanzania ambaye pia ni Mratibu Miradi, Kituo cha Watoto wa Mtaani cha Dogodogo Kigogo (Dogodogo Centre Street Children Trust), Sabas Masawe.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/Mwenyekiti-wa-Mtandao-wa-Mashirika-yanayofanya-kazi-na-Watoto-Tanzania-ambaye-pia-ni-Mratibu-Miradi-Kituo-cha-Watoto-wa-Mtaani-cha-Dogodogo-Kigogo-Dogodogo-Centre-Street-Children-Trust-Sabas-Masawe..jpg)
Mwenyekiti wa Mtandao wa Mashirika yanayofanya kazi na Watoto Tanzania ambaye pia ni Mratibu Miradi, Kituo cha Watoto wa Mtaani cha Dogodogo Kigogo (Dogodogo Centre Street Children Trust), Sabas Masawe.
MCHAKATO wa kujadili na kuandika Katiba Mpya unaendelea bungeni mjini Dodoma, licha ya kuwepo kwa mvutano na mgawanyiko wa makundi ya wabunge wa bunge maalumu wanaojadili Rasimu ya Pili iliyowasilishwa kwao. Wakati hayo yakiendelea viongozi, wanaharakati na wadau wa watoto wanapendekeza...
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/Mwenyekiti-wa-Mtandao-wa-Mashirika-yanayofanya-kazi-na-Watoto-Tanzania-ambaye-pia-ni-Mratibu-Miradi-Kituo-cha-Watoto-wa-Mtaani-cha-Dogodogo-Kigogo-Dogodogo-Centre-Street-Children-Trust-Sabas-Masawe..jpg)
VIONGOZI, WANAHARAKATI WATAKA KATIBA MPYA IMTAMBUE MTOTO NA HAKI ZAKE
10 years ago
MichuziVIJANA WALIOTIMIZA MIAKA 18 WAASWA KUPIGA KURA ILI KUCHAGUA VIONGOZI WANAO WATAKA.
Nae Mwenyekiti wa asasi isiyo ya kiserikali Tanzania People with Disabilities Organization (TAPWAO), Michael Mwanzalima ameomba tume ya uchaguzi kutoa vipaumbele kwa walemavu wa viungo mbalimbali siku ya kupiga kura ili isiwe kikwazo kwao katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25...
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-5l3Kdc4YmPc/Vj_LeFN3TRI/AAAAAAABaCk/JWd78YsnaUg/s640/azam.jpg)