Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mayweather kuchapana na Pacquiao Mei 2

Bondia Floyd Mayweather ametaja tarehe 2 mwezi May mwaka 2015 kama siku ya pigano kati yake na Manny Pacquiao .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mayweather na Pacquiao wakosolewa

Mabondia mashuhuri wa zamani wa Kenya, Steve Muchoki na Muhammad Abdallah Kent, wamewakosoa Floyd Mayweather na Manny Paqcuiao

 

10 years ago

BBCSwahili

Pacquiao na Mayweather kuzichapa?

Lile pambano la masumbwi la uzito wa welterweight linalosubiriwa kwa hamu kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao limeiva.

 

10 years ago

GPL

MAYWEATHER VS PACQUIAO NANI BINGWA?

Mayweather na Pacquiao wakitambiana. Japo tayari ni tajiri, Mayweather ambaye jina lake la utani ni Money, atapokea zaidi ya dola milioni 150 na Pacquiao kama dola milioni 100.Ni Mayweather au Pacquiao Las Vegas? Pacquiao yeye ametoka jamii ya kimaskini huko Ufilipino na kuna wakati katika maisha yake ya utotoni aliwahi kulala njaa. Floyd Mayweather akipima uzito. Achilia mbali wanaoangalia kwenye TV, wengi wa mashabiki  huko...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mayweather Vs Pacquiao:Nani bingwa?

Mayweather atarajiwa kupokea zaidi ya dolla millioni $150m na Pacquiao kama millioni $100m.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pacquiao atamba kumchakaza Mayweather

Manny Pacquiao ametamba kumchakaza mpinzani wake kwenye mpambano utakaofanyika tarehe mbili mwezi ujao

 

10 years ago

BBCSwahili

Floyd Mayweather amshinda Pacquiao

Bondia wa Marekani Floyd Mayweather ameshinda pigano lililosubiri kwa wingi katika miongo kadhaa.

 

10 years ago

Michuzi

jinsi Mayweather alivyomshinda Pacquiao

 Bondia wa Kimarekani,Floyd Mayweather Jr akimrushia konde kali mpinzani wake, Manny Pacquiao wa Philipines wakati wa mpambano wao wa kihistoria na uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na watu wengi Duniani kote, uliopigwa mapema leo kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa MGM Grand Garden Arena, jijini Las Vegas, Marekani. Bondio Floyd Mayweather ameshinda mchezo huo kwa point 118-110, 116-112, 116-112 kutoka kwa waamuzi wa mchezo huo na kunyakuwa mkanda wa WBO huku akiifanya rekodi yake ya kutopigwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mayweather akubali kuzichapa na Pacquiao

Floyd Mayweather Junior ametangaza kuwa pigano na mwanamasumbwi raia wa ufilipino Manny Pacquiao litafanyika mjini Las Vegas Mei 2

 

10 years ago

BBCSwahili

Mayweather apokonywa taji alilomshinda Pacquiao

Bondia Bingwa wa dunia wa uzani wa Welter Floyd Mayweather amepokonywa ukanda alioutwaa baada ya kumtwanga Manny Pacquiao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani