Kikwete ateua bosi mpya MSD
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Laurean Rugambwa Bwanakunu kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bohari ya Dawa (MSD).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Apr
Kikwete ateua Balozi mpya wa Saudia
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Hemed Iddi Mgaza kuwa Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia.
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Kikwete amteua Masikitiko kuwa bosi mpya TBS
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4Ltfy5zewXI/VIS0UhQ7O9I/AAAAAAADRJY/U3rl-7IWFlk/s72-c/uhuru%2Bna%2Bumoja.jpg)
RAIS KIKWETE ATEUA MKUU MPYA MMOJA WA MKOA NA KUWAHAMISHA VITUO VYA KAZI WENGINE SITA
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://2.bp.blogspot.com/-4Ltfy5zewXI/VIS0UhQ7O9I/AAAAAAADRJY/U3rl-7IWFlk/s1600/uhuru%2Bna%2Bumoja.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mkuu Mpya mmoja wa Mkoa na kuwahamisha vituo vya kazi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s72-c/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, AHAMISHA SITA, WATATU WA ZAMANI AWAWEKA KIPORO, PIA ATEUA MAKATIBU WAKUU WANNE WAPYA WA WIZARA NA KUHAMISHA MMOJA.
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2156398/lowRes/670006/-/oe4wxmz/-/kikwete.jpg)
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s1600/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
PRESIDENT’S OFFICE,STATE HOUSE,1 BARACK OBAMA ROAD,11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi...
11 years ago
Mwananchi31 Dec
JK ateua IGP mpya
10 years ago
Habarileo19 Dec
TPDC yapata bosi mpya
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Dk James Mataragio kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu kwa vyombo vya habari jana, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema uteuzi huo ulianza Desemba 15, mwaka huu.
10 years ago
Habarileo16 Aug
Msonde bosi mpya NECTA
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Dk Charles Msonde kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA).
10 years ago
Mtanzania26 May
JK ateua DC mpya, ahamisha kumi
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete amefanya uhamisho wa wakuu 10 wa wilaya kwa nia ya kuongeza ufanisi katika uongozi wa wilaya mbalimbali nchini na kumteua Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, mkoani Dodoma.
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu Dar es Salaam jana, ilieleza kuwa katika mabadiliko hayo, rais Kikwete amemuhamisha Luteni Edward ole Lenga kutoka Wilaya ya Mkalama mkoani Singida kwenda kuwa mkuu wa Wilaya mpya ya Kyerwa, Mkoa wa...
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Rais Kikwete ateua makatibu