JK ateua DC mpya, ahamisha kumi
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete amefanya uhamisho wa wakuu 10 wa wilaya kwa nia ya kuongeza ufanisi katika uongozi wa wilaya mbalimbali nchini na kumteua Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, mkoani Dodoma.
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu Dar es Salaam jana, ilieleza kuwa katika mabadiliko hayo, rais Kikwete amemuhamisha Luteni Edward ole Lenga kutoka Wilaya ya Mkalama mkoani Singida kwenda kuwa mkuu wa Wilaya mpya ya Kyerwa, Mkoa wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EZUt9tlUyQna0tq-Gg5Ng7O3zWlCWEAgUH1dvW-pnpPDeRgYoRIoPfYc0L7GmJOMYMOPOanQkiVhmberzji4ykuoXLdLekJK/IKULU.png?width=650)
RAIS KIKWETE ATEUA NA AHAMISHA MABALOZI
10 years ago
Habarileo26 May
Kikwete ateua DC mmoja, ahamisha wengine 10
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, mkoa wa Dodoma.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S0bHRaEtJRM/Vcn_DKVjeMI/AAAAAAAHwDA/XfRrLGOfNvs/s72-c/images.jpg)
RAIS KIKWETE ATEUA NA AHAMISHA MABALOZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-S0bHRaEtJRM/Vcn_DKVjeMI/AAAAAAAHwDA/XfRrLGOfNvs/s1600/images.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Joseph B. Masikitiko kuwa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Kabla ya uteuzi huo Ndugu Masikitiko alikuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Shirika hilo (TBS).
Aidha, Rais Kikwete amefanya uteuzi wa Balozi mmoja na kuwabadilishia vituo vya kazi Mabalozi wawili kama ifuatavyo:
(i) Lt. Gen....
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s72-c/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA MIKOA WAPYA WANNE, AHAMISHA SITA, WATATU WA ZAMANI AWAWEKA KIPORO, PIA ATEUA MAKATIBU WAKUU WANNE WAPYA WA WIZARA NA KUHAMISHA MMOJA.
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2156398/lowRes/670006/-/oe4wxmz/-/kikwete.jpg)
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://3.bp.blogspot.com/-SInOcL6AKSI/U99C2B_G0ZI/AAAAAAAAVdc/O43EAk8WhEQ/s1600/Copy+of+Picture1+-+Copy+-+Copy+-+Copy.png)
PRESIDENT’S OFFICE,STATE HOUSE,1 BARACK OBAMA ROAD,11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa wakuu wapya wanne wa Mikoa, amewahamisha wengine sita na ameamua kuwa wengine watatu watapangiwa kazi...
11 years ago
Mwananchi31 Dec
JK ateua IGP mpya
10 years ago
Habarileo07 Jul
Kikwete ateua bosi mpya MSD
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Laurean Rugambwa Bwanakunu kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bohari ya Dawa (MSD).
10 years ago
Habarileo09 Apr
Kikwete ateua Balozi mpya wa Saudia
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Hemed Iddi Mgaza kuwa Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia.
10 years ago
Habarileo03 Jun
Sitta avunja Bodi ya Bandari, ateua mpya
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amefuta uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Nchini (TPA) kuanzia jana na kuteua wajumbe wengine wapya nane wanaounda bodi hiyo.
10 years ago
Vijimambo03 Jan
Rais ateua Mwanasheria Mkuu wa Serikali mpya
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-LhD49zWjTIQ%2FVKhGVaWySZI%2FAAAAAAADUMw%2FbAnFpqcJ7hU%2Fs1600%2F0L7C3313.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Uteuzi wa Bwana Masaju ulianza jana, Ijumaa, Januari 2, 2015 na ataapishwa keshokutwa, Jumatatu, Januari 5, 2015, Ikulu, Dar Es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Masaju alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Bwana Masaju pia amepata kuwa Mshauri wa Sheria wa Rais wa Jamhuri ya...