Msonde bosi mpya NECTA
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Dk Charles Msonde kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-U12yevR1dFo/U-58y2ASygI/AAAAAAAF_88/vasQMNZMZVQ/s72-c/baraza%2Bla%2Bmitihani.jpg)
Dkt. Charles Msonde ndiye Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA).
![](http://4.bp.blogspot.com/-U12yevR1dFo/U-58y2ASygI/AAAAAAAF_88/vasQMNZMZVQ/s1600/baraza%2Bla%2Bmitihani.jpg)
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar es Salaam jioni ya jana, Alhamisi, Agosti 14, 2014, na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa uteuzi huo ulianza juzi, Jumatano, Agosti 13, 2014.
Kabla ya uteuzi wake, Dkt. Msonde alikuwa Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza hilo hilo la mitihani.
Dkt. Msonde anachukua nafasi...
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Necta yatangaza mfumo mpya
10 years ago
Habarileo19 Dec
TPDC yapata bosi mpya
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Dk James Mataragio kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu kwa vyombo vya habari jana, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema uteuzi huo ulianza Desemba 15, mwaka huu.
10 years ago
Habarileo07 Jul
Kikwete ateua bosi mpya MSD
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Laurean Rugambwa Bwanakunu kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bohari ya Dawa (MSD).
10 years ago
Habarileo25 Oct
Apwanga bosi mpya wenyeviti CCM Masasi
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kata ya Jida Masasi Mjini, Juma Issa Apwanga amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Kata wa CCM wilayani Masasi.
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Bosi mpya NMG: Nitasimamia weledi na uhuru wa habari
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Kikwete amteua Masikitiko kuwa bosi mpya TBS
11 years ago
Michuzi03 Aug
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Dk Msonde aahidi kushirikiana na wananchi