Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Msonde aahidi kushirikiana na wananchi

Katibu mtendaji mpya wa Baraza la Mitihani nchini (Necta), Dk Charles Msonde amesema wajibu wake kwa sasa ni kuifanya taasisi hiyo kuwa ya wananchi kwa kuhakikisha wanatambua vyema mitihani inavyosimamiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Obama aahidi kushirikiana na Republican

Rais Barack Obama na viongozi wa Rebulican wameahidi kufanyakazi pamoja

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mashirika, wananchi wahimizwa kushirikiana

MASHIRIKA na taasisi za serikali na zisizo za kiserikali nchini, zimeshauriwa kujenga na kuimarisha ushirikiano bora baina yake na wananchi wakiwemo waishio vijijini katika utendaji wao wa kazi, ili kuleta...

 

9 years ago

Dewji Blog

Madiwani Kigoma watakiwa kushirikiana na wananchi

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Saveli Mwangasame, akizungumza na madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mwishoni mwa wiki iliyopita. (Picha na Emmanuel Senny) (4)-1

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Saveli Mwangasame, akizungumza na madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mwishoni mwa wiki iliyopita. (Picha na Emmanuel Senny).

Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Enock Jonas, akizungumza na madiwani baada ya kuchaguliwa katika kikao chao cha kwanza. (Picha na Emmanuel Senny) (1)

Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Enock Jonas, akizungumza na madiwani baada ya kuchaguliwa katika kikao chao cha kwanza. (Picha na Emmanuel Senny).

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuapishwa. (Picha na Emmanuel Senny)

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuapishwa. (Picha na Emmanuel Senny)

Na Emmanuel Senny, Kigoma

Madiwani wa...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA KINONDONI AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKIANA KATIKA MATATIZO

MBUNGE wa Kinondoni,Idd Azzan amewataka wananchi kuwa na ushirikiano wakati wa matatizo ili kuwafariji wahanga waliopata majanga.
Mh.Azzan aliyasema hayo jana wakati alipowatembelea wananchi wake waliopata mafuriko pamoja na wale ambao nyumba zao zimezingirwa na maji,amesema kuwa sasa ni wakati wa watu kusaidia wenzao waliopata na maafa.
Amesema kuwa ametoa mpira wa kutolea maji kutokana na kuepusha na magonjwa ya mlipuko yatakayotokana na maji  yaliyojaa katika mitaa iwamo Kipindupindu na...

 

9 years ago

StarTV

Anne Kilango aahidi kuwaletea wananchi maendeleo

Wakati Watanzia wakikaribia kwenye uchaguzi mkuu kuwachagua Wabunge Madiwani pamoja na Rais Mgombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM katika Jimbo la Same Mashariki Anne Kilango ameahidi kusimamia vyema ilani ya chama chake katika kuwaletea maendeleo wananchi hususani kwenye nyanja ya uchumi endapo atapata ridhaa kwa mara nyingine kuwa mbunge wa jimbo hilo.

Kilango ameyasema hayo katika mkutano wake wa kampeni wa kuomba kura kwa wananchi uliofanyika kwenye Kata ya Gonja Maore wilayani...

 

9 years ago

Michuzi

DKT FENELA MUKANGARA AAHIDI KUWAINUA KIUCHUMI WANANCHI WA KIBAMBA KUPITIA SACCOS

Dkt Fenela Mukangara akizungumza na wana SACCOS wa kata ya Msigani
 akiahidi kuwainua kiuchumi wananchi wa kibamba kupitia SACCOS yao jijini Dar es Salaa jana.
 Baadhi ya akina mama na wana SACCOS wa kata ya Msigani wakimsikiliza Dkt Fenela Mukangara jijini Dar es Salaa jana.

 

10 years ago

Habarileo

Msonde bosi mpya NECTA

RAIS Jakaya Kikwete amemteua Dk Charles Msonde kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA).

 

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Mwananchi

Dk Msonde: Naahidi mambo matatu Baraza la Mitihani

Baada ya kukaimu kwa karibu mwaka mmoja nafasi ya Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), hatimaye mwezi Agosti, Rais Jakaya Kikwete alimteua Dk Charles Msonde kuongoza taasisi hiyo nyeti nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani