Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashirika, wananchi wahimizwa kushirikiana

MASHIRIKA na taasisi za serikali na zisizo za kiserikali nchini, zimeshauriwa kujenga na kuimarisha ushirikiano bora baina yake na wananchi wakiwemo waishio vijijini katika utendaji wao wa kazi, ili kuleta...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wakunga wahimizwa kushirikiana kutengeneza taifa la kesho

DSC_0228

Rais wa chama cha wakunga nchini (TAMA), Feddy Mwanga akimkaribisha Ofisa Mtendaji mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wakunga duniani, Frances Ganges (kulia) kuzungumza na wakunga nchini waliokusanyika kwenye mdahalo wa siku moja kuelekea sherehe za kilele cha maadhimisho ya siku ya Wakunga Duniani ambapo kitaifa imefanyika mjini Musoma mkoani Mara. Kushoto ni Kaimu Muuguzi mkuu wa serikali kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Ama Kasangala. (Picha zote na Zainul Mzige wa...

 

10 years ago

GPL

WAKUNGA WAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KUTENGENEZA TAIFA LA KESHO‏

Rais wa chama cha wakunga nchini (TAMA), Feddy Mwanga akimkaribisha Ofisa Mtendaji mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wakunga duniani, Frances Ganges (kulia) kuzungumza na wakunga nchini waliokusanyika kwenye mdahalo wa siku moja kuelekea sherehe za kilele cha maadhimisho ya siku ya Wakunga Duniani ambapo kitaifa imefanyika mjini Musoma mkoani Mara. Kushoto ni Kaimu Muuguzi mkuu wa serikali kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yaahidi kushirikiana na mashirika na wadau wa habari kutokomeza vitendo vya ukatili kwa waandishi wa habari

IMG_2832

Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (katikati) akisalimiana na Mjumbe wa bodi udhamini ya Mtandao wa Radio Jamii Tanzania (COMNETA), Balozi Mstaafu, Christopher Liundi alipowasili katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili ulioandaliwa na UNESCO. Kulia ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wahimizwa kupanda miti

MKUU wa Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewataka wananchi  wa wilaya hiyo kujenga tabia ya kupanda miti na kutunza mazingira kwa lengo la kukabiliana na changamoto za mabadiliko...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wahimizwa kuchangia damu

WANANCHI wametakiwa kujenga utamaduni wa kuchangia damu kwa hiari, ili taifa liweze kuwa na akiba ya kutosha na lifikie malengo ya maendeleo ya milenia. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Msonde aahidi kushirikiana na wananchi

Katibu mtendaji mpya wa Baraza la Mitihani nchini (Necta), Dk Charles Msonde amesema wajibu wake kwa sasa ni kuifanya taasisi hiyo kuwa ya wananchi kwa kuhakikisha wanatambua vyema mitihani inavyosimamiwa.

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi wahimizwa kutunza hati za kusafiria

WATANZANIA wametakiwa kutunza hati zao za kusafiria kwani endapo zitapotea na kuchukuliwa na wahalifu wa kimataifa itasababisha wahalifu hao kuingia kwa urahisi nchini na kufanya uhalifu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi Iringa wahimizwa kunusuru hifadhi

WANANCHI wanaoishi kuzunguka maeneo ya hifadhi za taifa wameshauriwa kunusuru rasilimali zinazoendelea kupotea kutokana na matumizi mabaya ya ardhi katika maeneo hayo. Mratibu wa Mradi wa Kuboresha Mtandao wa Maeneo...

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi wahimizwa kujitokeza daftari la wapigakura

 Chiku GallawaMKUU wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la wapigakura ili kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa ifikapo Desemba 14, 2014.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani