DKT FENELA MUKANGARA AAHIDI KUWAINUA KIUCHUMI WANANCHI WA KIBAMBA KUPITIA SACCOS
![](http://4.bp.blogspot.com/-3IWCI33roVM/VgOZh09RqiI/AAAAAAAC_h8/qPsbWG-DAgc/s72-c/IMG_0052.jpg)
Dkt Fenela Mukangara akizungumza na wana SACCOS wa kata ya Msigani
akiahidi kuwainua kiuchumi wananchi wa kibamba kupitia SACCOS yao jijini Dar es Salaa jana. Baadhi ya akina mama na wana SACCOS wa kata ya Msigani wakimsikiliza Dkt Fenela Mukangara jijini Dar es Salaa jana.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Dkt. Fenela Mukangara kupambana na kero ya maji katika jimbo la Kibamba
Na Jimmy Kagaruki, Dar
Mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Dkt. Fenela Mukangara (pichani) amesema atashirikiana na wananchi wa jimbo la Kibamba kupambana na kero ya maji kwenye jimbo hilo.
Akizungumza na Nuru FM Mukangara amesema licha ya mikakati ya serikali ya kupambana na kero ya maji kwa wakazi wa jiji la Dar-es-Salaam na jimbo la Kibamba kwa ujumla bado kuna upungufu wa maji kwa wakazi hao.
Ametaja sababu za upungufu huo wa maji kuwa ni pamoja na baadhi ya wananchi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara Mukangara achanja mbuga
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYHWCn7n0G8/Vf7WavXd4nI/AAAAAAAH6VY/ZZ43ipJG7b4/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
9 years ago
VijimamboDKT FENELA AIBUA MATUMAINI MAPYA JIMBONI KIBAMBA
11 years ago
Michuzi09 Jul
MBUNGE MAGIGE AHIDI KUWAINUA AKINAMAMA KIUCHUMI KUPITIA CATHERINE FOUNDATION
![MA7](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/C0YIG2Jeaxt3n3P5YEz4wF3xZNpZA7q4loN90qG_JdU_tjPBiUMpCZu44KiUBSvQxJXdnxC-ajpI6D-00m59GWUPyh3JVBVkpMnE31oMq8vxmKpCiydVKjY=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/ma7.jpg?w=627&h=470)
![1.](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/JYlMScxCo7RGb2cwwvNfhEYBZyf52JM6sL43vtvp5dJLs--StxZqONw67oiZqQsrRTRR3N25uPvxKAXGlzWAB_jDciDVeod3_cZYdH2Gjp3s--epSfhV=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/1.jpg?w=627&h=470)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-H8az2d17Z00/ViS6PxOf3aI/AAAAAAAIA2s/dNelycVnano/s72-c/IMG_2798%2B%2528800x533%2529.jpg)
DKT FENELLA MUKANGARA AHAIDI KUTATUA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA JIMBO LA KIBAMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-H8az2d17Z00/ViS6PxOf3aI/AAAAAAAIA2s/dNelycVnano/s640/IMG_2798%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4b6s03V-31Y/ViS6Pw3XNqI/AAAAAAAIA2k/OoYssKtTLrI/s640/IMG_2850%2B%2528800x494%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Dkt. Fenella Mukangara aahidi kuijenga Kimbamba mpya
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt. Fenella Mukangara katika mikutano ya kampeni.
Wananchi wakimsikiliza Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la kibamba Dkt. Fenella Mukangara.
Na Jimmy Kagaruki, Kibamba
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara amesema atalifanya jimbo hilo kuwa la kisasa kwa muda wa miaka mitano ijayo.
Dkt. Fenella ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni za ubunge jimbo la Kibamba kwenye kata ya Saranga.
Akihutubia...
9 years ago
Habarileo06 Sep
Dk Mukangara: Nitaongeza ajira Kibamba
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Kibamba kwa tiketi ya CCM, Dk Fenella Mukangara ameahidi kusaidia kuongeza ajira kwa wakazi wa jimbo hilo na kutatua kero zao mbalimbali. Dk Mukangara alisema hayo juzi wakati akizungumza na wakazi wa jimbo hilo, waliojitokeza katika kata ya Mbezi Kimara kwenye kampeni za ubunge.
10 years ago
Daily News19 Jul
Mukangara returns form for Kibamba constituency
Daily News
THE CCM parliamentary hopeful at the newly formed Kibamba constituency, Dr Fenella Mukangara, returned her parliamentary nomination form at the party's offices in Kinondoni, expressing her desire to lead people in the area. Dr Mukangara who is the ...
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Wizara kuwainua kiuchumi wavuvi
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, imeweka mikakati ya kuwaondoa wavuvi katika umaskini kwa kutoa elimu na mbinu za kujiunga na huduma mbalimbali za jamii. Hayo yalielezwa jijini Dar...