Dkt. Fenela Mukangara kupambana na kero ya maji katika jimbo la Kibamba
Na Jimmy Kagaruki, Dar
Mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Dkt. Fenela Mukangara (pichani) amesema atashirikiana na wananchi wa jimbo la Kibamba kupambana na kero ya maji kwenye jimbo hilo.
Akizungumza na Nuru FM Mukangara amesema licha ya mikakati ya serikali ya kupambana na kero ya maji kwa wakazi wa jiji la Dar-es-Salaam na jimbo la Kibamba kwa ujumla bado kuna upungufu wa maji kwa wakazi hao.
Ametaja sababu za upungufu huo wa maji kuwa ni pamoja na baadhi ya wananchi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3IWCI33roVM/VgOZh09RqiI/AAAAAAAC_h8/qPsbWG-DAgc/s72-c/IMG_0052.jpg)
DKT FENELA MUKANGARA AAHIDI KUWAINUA KIUCHUMI WANANCHI WA KIBAMBA KUPITIA SACCOS
![](http://4.bp.blogspot.com/-3IWCI33roVM/VgOZh09RqiI/AAAAAAAC_h8/qPsbWG-DAgc/s640/IMG_0052.jpg)
akiahidi kuwainua kiuchumi wananchi wa kibamba kupitia SACCOS yao jijini Dar es Salaa jana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-prZ25pohlUo/VgObeG6e6sI/AAAAAAAC_iM/UqAFNmqNkr8/s640/IMG_0059.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara Mukangara achanja mbuga
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYHWCn7n0G8/Vf7WavXd4nI/AAAAAAAH6VY/ZZ43ipJG7b4/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-H8az2d17Z00/ViS6PxOf3aI/AAAAAAAIA2s/dNelycVnano/s72-c/IMG_2798%2B%2528800x533%2529.jpg)
DKT FENELLA MUKANGARA AHAIDI KUTATUA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA JIMBO LA KIBAMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-H8az2d17Z00/ViS6PxOf3aI/AAAAAAAIA2s/dNelycVnano/s640/IMG_2798%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4b6s03V-31Y/ViS6Pw3XNqI/AAAAAAAIA2k/OoYssKtTLrI/s640/IMG_2850%2B%2528800x494%2529.jpg)
9 years ago
VijimamboDKT FENELA AIBUA MATUMAINI MAPYA JIMBONI KIBAMBA
9 years ago
Habarileo20 Sep
Mukangara kuondoa kero ya maji
MGOMBEA wa nafasi ya ubunge wa jimbo la Kibamba kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Fenella Mukangara amezindua kampeni zake za ubunge kwa kuahidi kukabiliana na kero ya maji.
9 years ago
Habarileo25 Aug
‘Endapo Kibamba mtanichagua nitaondoa kero sugu ya maji’
MGOMBEA wa ubunge wa Jimbo la Kibamba kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Dickson Ng’hily amesema endapo wana Kibamba, watamchagua kuwa mbunge wao, ataondoa kero sugu ya ukosefu wa maji.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aHELeYGfzSA/XvhRwOIJvDI/AAAAAAALvxE/IoeMQS1CfRUrwsfc4qkMUJ1g43f1IiRqQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B10.16.01%2BAM.jpeg)
RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA MRADI WA MAJI WA KIBAMBA KISARAWE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanua Dkt John Pombe Magufuli amezindua mradi wa maji wa Kibamba Kisarawe uliotekelezwa na Mamlaka ha Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA.
Mradi huo umejengwa kufuatia agizo alilotoa Juni 21,2017 wakati wa uzinduzi wa Mtambo wa Ruvu Juu akiwataka Dawasa kutanua mtandao wa Usambazaji maji na kupeleka maji Kisarawe.
Akitoa maelezo ya mradi huo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasa Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema mradi wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-5TKPCZ7dPOk/Velpd8H0H_I/AAAAAAAAyiI/5GeZS-xnwBo/s72-c/DSC_0070.jpg)
MAMA SAMIA KATIKA JIMBO LA KIBAMBA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-5TKPCZ7dPOk/Velpd8H0H_I/AAAAAAAAyiI/5GeZS-xnwBo/s640/DSC_0070.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WxF6_lc9uuc/VelpWQ8ZoAI/AAAAAAAAygw/5xrr06dLayg/s640/DSC_0085.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s1I_csQg85E/VelpW9926VI/AAAAAAAAyg4/j83ZyGzKUH4/s640/DSC_0090.jpg)
9 years ago
Habarileo06 Sep
Dk Mukangara: Nitaongeza ajira Kibamba
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Kibamba kwa tiketi ya CCM, Dk Fenella Mukangara ameahidi kusaidia kuongeza ajira kwa wakazi wa jimbo hilo na kutatua kero zao mbalimbali. Dk Mukangara alisema hayo juzi wakati akizungumza na wakazi wa jimbo hilo, waliojitokeza katika kata ya Mbezi Kimara kwenye kampeni za ubunge.