DKT FENELA AIBUA MATUMAINI MAPYA JIMBONI KIBAMBA
dkt fenela mukangara akiwa na mumewe prof mukangara kwenye mkutano wa kampeni za ccm Jimbo la kibamba kwenye uwanja wa msigani tanesco
mamia ya wananchi wa kibamba wakimsikiliza dkt fenela mukangara.
dkt fenela mukangara akihutumia wananchi wa jimbo la kibamba kwenye viwanja vya msigani tanesco.
dkt fenela mukangara akipongezwa na mumewe prof mukangara mara baada ya kuhutubia mkutano wa kibamba.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Dkt. Fenela Mukangara kupambana na kero ya maji katika jimbo la Kibamba
Na Jimmy Kagaruki, Dar
Mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Dkt. Fenela Mukangara (pichani) amesema atashirikiana na wananchi wa jimbo la Kibamba kupambana na kero ya maji kwenye jimbo hilo.
Akizungumza na Nuru FM Mukangara amesema licha ya mikakati ya serikali ya kupambana na kero ya maji kwa wakazi wa jiji la Dar-es-Salaam na jimbo la Kibamba kwa ujumla bado kuna upungufu wa maji kwa wakazi hao.
Ametaja sababu za upungufu huo wa maji kuwa ni pamoja na baadhi ya wananchi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3IWCI33roVM/VgOZh09RqiI/AAAAAAAC_h8/qPsbWG-DAgc/s72-c/IMG_0052.jpg)
DKT FENELA MUKANGARA AAHIDI KUWAINUA KIUCHUMI WANANCHI WA KIBAMBA KUPITIA SACCOS
![](http://4.bp.blogspot.com/-3IWCI33roVM/VgOZh09RqiI/AAAAAAAC_h8/qPsbWG-DAgc/s640/IMG_0052.jpg)
akiahidi kuwainua kiuchumi wananchi wa kibamba kupitia SACCOS yao jijini Dar es Salaa jana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-prZ25pohlUo/VgObeG6e6sI/AAAAAAAC_iM/UqAFNmqNkr8/s640/IMG_0059.jpg)
10 years ago
Mtanzania25 Mar
Lowassa aibua mapya
Na Waandishi Wetu, Dodoma, Kilimanjaro
HALI ya siasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inazidi kuwa tete baada ya makundi mbalimbali ya jamii kwenda kumshawishi Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa achukue fomu ya kugombea urais.
Hali hiyo imedhihirika baada ya makada wa chama hicho kuanza kuvurugana kwa kutoa kauli zinazopingana juu ya wanaomtembelea Waziri Mkuu huyo wa zamani.
Hatua hiyo imekuja siku moja baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Abdallah Bulembo, kuwataka wajumbe...
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Dk. Slaa aibua mapya IPTL
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilibrod Slaa, amesema fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow ni sh bilion 400 badala sh bilioni 306 kama ilivyokaririwa...
9 years ago
Habarileo25 Oct
Kiiza aibua mapya Simba
MSHAMBULIAJI wa Simba, Hamis Kiiza bado amebakisha wiki moja arejee uwanjani katika muda aliopangiwa na daktari wake, lakini sasa ameamua kuja kivingine. Kiiza raia wa Uganda, amesema ameuomba daktari wa Simba, Yassin Gembe amruhusu Jumatano aichezee Simba itakapokuwa inamenyana na Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Mfungwa wa EPA aibua mapya
JESHI la Magereza (TPS) nchini limekiri kuachiwa huru kwa msamaha wa Rais Jakaya Kikwete, mfanyabiashara , aliyetupwa jela kutumikia kifungo cha miaka miwili kwa kosa la kukwapua sh bilioni 3.8...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Seif Magari aibua mapya Yanga
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umetoa onyo kwa watu wanaotumika kusambaza ‘meseji’ za vitisho kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Kimataifa, Seif Ahmed ‘Magari’ na viongozi wenzake kwa lengo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-F8-aR2gWXs8/VOnpj1T6MoI/AAAAAAAARuU/e5TwESjiR_0/s72-c/mbowe.jpg)
Mbowe aibua mapya mfumo wa BVR.
![](http://4.bp.blogspot.com/-F8-aR2gWXs8/VOnpj1T6MoI/AAAAAAAARuU/e5TwESjiR_0/s1600/mbowe.jpg)
Akifungua kikao cha baraza la uongozi wa chama hicho Kanda za Nyanda za Juu Kusini jana alisema, Mshauri Mwelekezi kutoka Marekani Darell Geusz...
10 years ago
Mwananchi12 May
Sheikh Farid wa uamsho aibua mapya mahakamani