Mukangara returns form for Kibamba constituency
Mukangara returns form for Kibamba constituency
Daily News
THE CCM parliamentary hopeful at the newly formed Kibamba constituency, Dr Fenella Mukangara, returned her parliamentary nomination form at the party's offices in Kinondoni, expressing her desire to lead people in the area. Dr Mukangara who is the ...
Daily News
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara Mukangara achanja mbuga
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYHWCn7n0G8/Vf7WavXd4nI/AAAAAAAH6VY/ZZ43ipJG7b4/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
9 years ago
Habarileo06 Sep
Dk Mukangara: Nitaongeza ajira Kibamba
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Kibamba kwa tiketi ya CCM, Dk Fenella Mukangara ameahidi kusaidia kuongeza ajira kwa wakazi wa jimbo hilo na kutatua kero zao mbalimbali. Dk Mukangara alisema hayo juzi wakati akizungumza na wakazi wa jimbo hilo, waliojitokeza katika kata ya Mbezi Kimara kwenye kampeni za ubunge.
10 years ago
Dewji Blog16 Jul
Maganga kumnyima usingizi Dr. Mukangara kura za maoni Ubunge Kibamba
Mtia nia kwa nafasi ya ubunge jimbo jipya la Kibamba kupitia tiketi ya CCM, Bw.Stanslaus Justine Maganga (26) (Pichani) ametangaza kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo hilo.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe Dr. Fenella Ephrahim Mukangara nae pia ni moja kati ya makada wa chama cha mapinduzi(ccm) wanaothubutu kutia nia kuwania kiti cha ubunge katika jimbo la Kibamba kupitia chama hiko.
Hali ya kisiasa jimboni humo imepamba moto baada ya watia nia hao wawili kuimarisha...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V_Z_YAd2MPc/VaZXvatT-JI/AAAAAAAANyI/9OC8fZO3AmM/s72-c/IMG-20150628-WA0124%25281%2529.jpg)
MAGANGA KUMNYIMA USINGIZI Dr.MUKANGARA KURA ZA MAONI UBUNGE KIBAMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-V_Z_YAd2MPc/VaZXvatT-JI/AAAAAAAANyI/9OC8fZO3AmM/s320/IMG-20150628-WA0124%25281%2529.jpg)
Hali ya kisiasa jimboni humo imepamba moto baada ya watia nia hao wawili kuimarisha ngome zao kwa...
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Dkt. Fenela Mukangara kupambana na kero ya maji katika jimbo la Kibamba
Na Jimmy Kagaruki, Dar
Mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Dkt. Fenela Mukangara (pichani) amesema atashirikiana na wananchi wa jimbo la Kibamba kupambana na kero ya maji kwenye jimbo hilo.
Akizungumza na Nuru FM Mukangara amesema licha ya mikakati ya serikali ya kupambana na kero ya maji kwa wakazi wa jiji la Dar-es-Salaam na jimbo la Kibamba kwa ujumla bado kuna upungufu wa maji kwa wakazi hao.
Ametaja sababu za upungufu huo wa maji kuwa ni pamoja na baadhi ya wananchi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3IWCI33roVM/VgOZh09RqiI/AAAAAAAC_h8/qPsbWG-DAgc/s72-c/IMG_0052.jpg)
DKT FENELA MUKANGARA AAHIDI KUWAINUA KIUCHUMI WANANCHI WA KIBAMBA KUPITIA SACCOS
![](http://4.bp.blogspot.com/-3IWCI33roVM/VgOZh09RqiI/AAAAAAAC_h8/qPsbWG-DAgc/s640/IMG_0052.jpg)
akiahidi kuwainua kiuchumi wananchi wa kibamba kupitia SACCOS yao jijini Dar es Salaa jana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-prZ25pohlUo/VgObeG6e6sI/AAAAAAAC_iM/UqAFNmqNkr8/s640/IMG_0059.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-H8az2d17Z00/ViS6PxOf3aI/AAAAAAAIA2s/dNelycVnano/s72-c/IMG_2798%2B%2528800x533%2529.jpg)
DKT FENELLA MUKANGARA AHAIDI KUTATUA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA JIMBO LA KIBAMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-H8az2d17Z00/ViS6PxOf3aI/AAAAAAAIA2s/dNelycVnano/s640/IMG_2798%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4b6s03V-31Y/ViS6Pw3XNqI/AAAAAAAIA2k/OoYssKtTLrI/s640/IMG_2850%2B%2528800x494%2529.jpg)
10 years ago
Daily News27 Jun
Mwandosya returns nomination form
Daily News
THE Minister of State in the President's Office (Without Portfolio), Prof Mark Mwandosya, yesterday returned his nomination form as presidential hopeful saying he will advocate for good governance, improved social services and foster peace and tranquility ...
10 years ago
Daily News18 Jul
Tabora RC returns nomination form in Rukwa
Daily News
APPROXIMATELY 23 CCM cadres vying for parliamentary posts picked nomination forms in Rukwa Region, including Tabora Regional Commissioner (RC), Mr Ludovic Mwananzila, who filled and returned his form on the same day. CCM Sumbawanga Rural ...