Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGANGA KUMNYIMA USINGIZI Dr.MUKANGARA KURA ZA MAONI UBUNGE KIBAMBA

MTIA nia kwa nafasi ya ubunge jimbo jipya la Kibamba kupitia tiketi ya CCM, Bw.Stanslaus Justine Maganga(26) ametangaza kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo hilo.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo  Mhe Dr. Fenella Ephrahim Mukangara nae pia ni moja kati ya makada wa chama cha mapinduzi(ccm) wanaothubutu kutia nia kuwania kiti cha ubunge katika jimbo la Kibamba kupitia chama hiko.
Hali ya kisiasa jimboni humo imepamba moto baada ya watia nia hao wawili kuimarisha ngome zao kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Maganga kumnyima usingizi Dr. Mukangara kura za maoni Ubunge Kibamba

IMG-20150628-WA0124(1)

Mtia nia kwa nafasi ya ubunge jimbo jipya la Kibamba kupitia tiketi ya CCM, Bw.Stanslaus Justine Maganga (26) (Pichani) ametangaza kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo hilo.

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo  Mhe Dr. Fenella Ephrahim Mukangara nae pia ni moja kati ya makada wa chama cha mapinduzi(ccm) wanaothubutu kutia nia kuwania kiti cha ubunge katika jimbo la Kibamba kupitia chama hiko.

Hali ya kisiasa jimboni humo imepamba moto baada ya watia nia hao wawili kuimarisha...

 

9 years ago

Michuzi

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara Mukangara achanja mbuga

 Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara akiongea na wakazi wa eneo hilo wakati akipokuwa akitangaza sera za chama chake na kuwaomba wampigie kura katika uchaguzi ujao pamoja na madiwani wengine sita wa chama cha mapinduzi.Dkt Fenella alitaja vipaumbele vyake katika jimbo hilo ambavyo ni Maji,Elimu,Afya pamoja na ajira kwa Vijana na kuwasihi wakazi hao kuchagua maendeleo bora yatayopatikana ndani ya CCM.Mwenyekiti  wa CCM mkoa wa Dar es...

 

9 years ago

Habarileo

Dk Mukangara: Nitaongeza ajira Kibamba

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Kibamba kwa tiketi ya CCM, Dk Fenella Mukangara ameahidi kusaidia kuongeza ajira kwa wakazi wa jimbo hilo na kutatua kero zao mbalimbali. Dk Mukangara alisema hayo juzi wakati akizungumza na wakazi wa jimbo hilo, waliojitokeza katika kata ya Mbezi Kimara kwenye kampeni za ubunge.

 

10 years ago

Daily News

Mukangara returns form for Kibamba constituency


Mukangara returns form for Kibamba constituency
Daily News
THE CCM parliamentary hopeful at the newly formed Kibamba constituency, Dr Fenella Mukangara, returned her parliamentary nomination form at the party's offices in Kinondoni, expressing her desire to lead people in the area. Dr Mukangara who is the ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dkt. Fenela Mukangara kupambana na kero ya maji katika jimbo la Kibamba

photo

Na Jimmy Kagaruki, Dar

Mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Dkt. Fenela Mukangara (pichani) amesema atashirikiana na wananchi wa jimbo la Kibamba kupambana na kero ya maji kwenye jimbo hilo.

Akizungumza  na Nuru FM Mukangara amesema licha ya mikakati ya serikali ya kupambana na kero ya maji kwa wakazi wa jiji la Dar-es-Salaam na jimbo la Kibamba kwa ujumla bado kuna upungufu wa maji kwa wakazi hao.

Ametaja sababu za upungufu huo wa maji kuwa ni pamoja na baadhi ya wananchi...

 

9 years ago

Michuzi

DKT FENELA MUKANGARA AAHIDI KUWAINUA KIUCHUMI WANANCHI WA KIBAMBA KUPITIA SACCOS

Dkt Fenela Mukangara akizungumza na wana SACCOS wa kata ya Msigani
 akiahidi kuwainua kiuchumi wananchi wa kibamba kupitia SACCOS yao jijini Dar es Salaa jana.
 Baadhi ya akina mama na wana SACCOS wa kata ya Msigani wakimsikiliza Dkt Fenela Mukangara jijini Dar es Salaa jana.

 

9 years ago

Michuzi

DKT FENELLA MUKANGARA AHAIDI KUTATUA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA JIMBO LA KIBAMBA

  Umati wa wananchi wa kimara michungwani  wakimsikiliza mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi(CCM) Dkt Fenella Mukangara(hayupo pichani) wakati alipokuwa akinadi sera za chama chake jimboni kibamba. Mgombea Ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi(CCM)  Dkt Fenella Mukangara akizungumza na wakazi wa kimara michungwani  wakati alipokuwa akinadi sera za chama chake.Dkt Fenella aliwaahidi wakazi hao kuwa wakimchagua atafanikisha kutatua suala la ajira kwa vijana ikiwemo kuwapa elimu...

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU ASHINDA KURA ZA MAONI UBUNGE CCM SINGIDA KASKAZINI

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameibuka na ushindi wa kishindo katika kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwania ubunge Jimbo la Singida Kaskazini.
Nyalandu, ambaye alikitetea nafasi hiyo aliwashinda wagombea wenzake saba waliojitokeza kupambana naye, ambapo aliongoza kwenye kata zote za jimbo hilo na kuwaacha mbali wapinzani wake.
Mwanasiasa huyo kijana na mwenye ushawishi mkubwa, aliongoza katika Kata za Ikhanoda, Msange, Itaja, Mwasauya, Mrama, Maghojoa,...

 

9 years ago

Bongo5

Masanja aangukia pua kwenye kura za maoni ya ubunge Ludewa

Masanja Mkandamizaji

Mchekeshaji, Masanja Mkandanizaji ameangukia pua katika kura za maoni za ubunge katika jimbo la Ludema baada ya kupata kura chache.

Masanja Mkandamizaji

Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi, Deo Ngalawa aliwashinda makada wenzake tisa waliokuwa wakiwania nafasi hiyo kwa kupata kura 537 akifuatiwa na mdogo wa marehemu Filikunjombe, Philip aliyepata kura 501.

Makada wengine ni Edgar Lugome, Johnson Mgimba, Emmanuel Mgaya maarufu Masanja Mkandamizaji (19), James Mgaya (72), Jackob Mpangala (3), Evaristo Mtitu (21)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani