TATHMINI YA SHERIA MTANDAO - RADIO ONE
SERIKALI imeshauriwa kuutumia vema mwezi Oktoba, mwaka huu kukuza uelewa kwa wananchi juu ya masuala ya mitandao ili kupunguza kama si kuondoa kabisa uhalifu mitandaoni.Rai hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Mtaalamu wa Usalama wa Mitandao na Uchunguzi wa Makosa ya Kidijitali, Yusuph Kileo wakati akizungumza na Majira.
"Nichukue nafasi hii kutambua na kuhamasisha tukio la kipekee katika anga ya usalama katika mitandao jambo ambalo limekuwa likiadhimishwa kila mwaka katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
.jpg)
11 years ago
GPL
TUME YA UTUMISHI YATOA TATHMINI YA SHERIA, KANUNI NA AJIRA
10 years ago
GPL
SHERIA YA MTANDAO INAMFILISI 50
5 years ago
Michuzi
TCRA Kanda ya Mashariki:Wamiliki wa Radio kufuata Sheria,Kanuni pamoja miongozo


10 years ago
Mtanzania05 May
“Rais atasaini Sheria ya Mtandao”
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba, amesema kuwa kutokana na hali ya nchi kwa sasa Rais Jakaya Kikwete, atasaini Sheria ya Mtandao.
Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akizungumza na MTANZANIA, baada ya kuripotiwa na gazeti moja la kila siku (sio MTANZANIA) mwishoni mwa wiki katika usinduzi wa Kitabu cha Chozi la Sitti, ambapo alinukuliwa akisema kuwa Rais Kikwete ameshasaini sheria hiyo.
Akikanusha taarifa hiyo alisema kuna uwezekano...
10 years ago
Habarileo23 Sep
‘Wapotoshaji sheria ya mtandao wapuuzwe’
WATANZANIA wametakiwa kuwapuuza wanaopotosha kuhusu sheria mpya ya mtandao wakidanganya kuwa inawabana wasio na hatia kwa kuunganisha kwenye kosa wapokeaji wa ujumbe au picha za mtandao zisizostahili.
10 years ago
GPL
SHERIA YA MTANDAO YAMKUNA MAI
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Sheria ya mtandao yaanza Tanzania
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Wahalifu mtandao ni kutungiwa sheria