Sheria ya mtandao yaanza Tanzania
Sheria ya Makosa ya kimitandao imeanza kufanya kazi leo nchini Tanzania
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Kesi ya kupinga sheria ya mtandao yaanza
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Hospitali ya Amana yaanza kutoa huduma kwa njia ya mtandao
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pip6g4jx0scaVHx034J**zfqJCMp4R580*mlQ*3JwqY*fV1YGnUBTjPfV3sN0cE*nChEq742nYQmV3yE*sMC2qUYD5V5wigm/50centcarcollectionfeatured.jpg?width=650)
SHERIA YA MTANDAO INAMFILISI 50
10 years ago
Habarileo09 May
Elimu sheria ya mtandao kutolewa
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema kuanzia wiki ijayo wataalamu wake wataanza kutoa elimu kwa umma kuhusu sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015, ili ianze kutumika rasmi.
10 years ago
Mtanzania05 May
“Rais atasaini Sheria ya Mtandao”
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba, amesema kuwa kutokana na hali ya nchi kwa sasa Rais Jakaya Kikwete, atasaini Sheria ya Mtandao.
Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akizungumza na MTANZANIA, baada ya kuripotiwa na gazeti moja la kila siku (sio MTANZANIA) mwishoni mwa wiki katika usinduzi wa Kitabu cha Chozi la Sitti, ambapo alinukuliwa akisema kuwa Rais Kikwete ameshasaini sheria hiyo.
Akikanusha taarifa hiyo alisema kuna uwezekano...
9 years ago
Michuzi04 Oct
TATHMINI YA SHERIA MTANDAO - RADIO ONE
"Nichukue nafasi hii kutambua na kuhamasisha tukio la kipekee katika anga ya usalama katika mitandao jambo ambalo limekuwa likiadhimishwa kila mwaka katika...
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Sheria ya mtandao yanasa watano
Asifiwe George na Ester Mnyika, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kutumia vibaya mitandao ya kijamii kufanya uhalifu wa kutengeneza habari za uongo na uzushi dhidi ya viongozi au watu maarufu.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleimani Kova alisema watu hao wamekuwa wakitumia vibaya majina ya watu maarufu hasa wanasiasa.
Kova alitaja majina...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7fSVyjXLzVgQYNp73NHx9LdvZmj6IyEndpytMg*n2yFB55r6jXcsA1zDuEJbfFEnpPn*wr1wc2N*QX4mwRLIP64pFnNrFbPB/mai.jpg)
SHERIA YA MTANDAO YAMKUNA MAI