Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MABORESHOYA SHERIA NA KANUNI YANAVYORAHISISHA UTOAJI WA HAKI

NA INNOCENT KANSHA - Mahakama Mahakama ya Tanzania imefanya Maboresho na inaendelea kufanya maboresho katika maeneo yote muhimu ya utendaji kazi kupita nguzo tatu za Mpango Mkakati wa Miaka Mitano ulioanza kutekelezwa mwaka 2015/16 hadi mwaka 2019/20. Nguzo hizo ni Utawala, Uwajibikaji na Matumizi ya Bora ya Rasilimali, Upatikanaji wa haki sawa  kwa wote na kwa wakati na Kujenga taswira chanya na Kurejesha imani ya wananchi kwa Mahakama. Hivyo maboresho ya sheria na kanuni mbalimbali...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Tanzania yapokea mwongozo mpya wa Sheria na Kanuni za Haki za Binadamu

Na Rose Masaka,Maelezo 
 Tanzania imepokea mwongozo mpya juu ya Sheria na Kanuni zinazohusu haki za polisi kumweka mtuhumiwa chini ya ulinzi na kabla ya kesi kusikilizwa ili kuwapa uelewa wa kutosha wananchi juu ya haki zao za msingi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Katibu mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi.Mary Massay amesema mtuhumiwa anatakiwa kumhoji polisi kosa gani amekamatwa nalo kabla ya kufikishwa kituoni.
Bi Massay alisema wananchi wengi wamekuwa...

 

5 years ago

Michuzi

Wizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu



Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Hellen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam wakati akitoa taarifa kuhusu changamoto za utekelezaji wa sheria ya kura ya maoni ya Katiba. Kulia ni Mratibu wa Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, Ezekiel Massanja.Wanahabari wakichukua taarifa hiyoWapiga picha na wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.
KITUO cha Sheria na Haki za...

 

10 years ago

GPL

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Hellen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam wakati akitoa taarifa kuhusu changamoto za utekelezaji wa sheria ya kura ya maoni ya Katiba. Kulia ni Mratibu wa Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, Ezekiel Massanja.… ...

 

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA TANZANIA INAENDELEA KUKUBORESHA UTOAJI HUDUMA ZA HAKI

  Mhe. Hussein Kattanga, Mtendaji Mkuu, Mahakama ya Tanzania (wa kwanza kushoto), Bw. Waleed Malik, Mwakilishi kutoka Benki ya Dunia (wa pili kushoto), Bi. Neema Ndunguru, Mkurugenzi wa Mazingira ya Biashara (PDB) pamoja na wawakilishi kutoka Benki ya Dunia wakiwa meza kuu wakati wa Kikao cha majadiliano katika ya Mahakama na Wadau wa Jumuiya ya Wafanyabiashara kupata maoni juu ya maboresho ya huduma za Mahakama. (IMG. 7436) Mmoja wa wadau walioshiriki katika warsha hiyo akitoa maoni yake...

 

11 years ago

Habarileo

Waomba kanuni Sheria ya Ukimwi 2008 kutekelezeka

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imeombwa kuharakisha kutunga kanuni za Sheria ya Kuzuia na Kudhibiti Ukimwi ya mwaka 2008 ili iweze kutekelezwa kupambana na unyanyapaa na kupunguza maambukizi mapya nchini.

 

10 years ago

Michuzi

WASIMAMIZI WAASWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU

 Mwanasheria wa tume ya uchaguzi Bw.Mtibora Seleman akifafanua jambo wakati wa semina hiyo. Wanasemina wakifatilia kwa karibu mafunzo hayo yanayofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.UCHAGUZI MKUU MAANDALIZI KANDA YA ZIWA YAENDELEA VIZURINa Atley Kuni- The Power of Media grew.IMEFAHAMIKA kwamba maandalizi muhimu ya uchaguzi mkuu kwa mikoa ya kanda ya ziwa yanaendelea vizuri huku, waratibu wa uchaguzi, wasimamizi na maafisa uchaguzi kutoka mikoa ya Mwanza na Mara wakiaswa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani