Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHAKAMA YA TANZANIA INAENDELEA KUKUBORESHA UTOAJI HUDUMA ZA HAKI

  Mhe. Hussein Kattanga, Mtendaji Mkuu, Mahakama ya Tanzania (wa kwanza kushoto), Bw. Waleed Malik, Mwakilishi kutoka Benki ya Dunia (wa pili kushoto), Bi. Neema Ndunguru, Mkurugenzi wa Mazingira ya Biashara (PDB) pamoja na wawakilishi kutoka Benki ya Dunia wakiwa meza kuu wakati wa Kikao cha majadiliano katika ya Mahakama na Wadau wa Jumuiya ya Wafanyabiashara kupata maoni juu ya maboresho ya huduma za Mahakama. (IMG. 7436) Mmoja wa wadau walioshiriki katika warsha hiyo akitoa maoni yake...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania kuongoza nchi za Afrika ktika maboresho ya utoaji wa haki za watuhumiwa na mahabusu

NABO ASSEY

Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Kisheria kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Nabor Assey akiongea na waandishi wa Habari (Hawapo pichani) kuhusu utekelezaji wa Miongozo ya Luanda inayohusu ukamataji na ushikiliaji wa watuhumiwa kabla ya kufunguliwa mashtaka itakayosaidia kupunguza mzigo kwa seriikali katika uendeshaji wa mahabusu na magereza yenye msongamano mwingi wa watuhumiwa na wafungwa, wakati wa Mkutano leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara...

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania Kuongoza Nchi za Afrika katika maboresho ya utoaji wa haki za watuhumiwa na mahabusu

Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Kisheria kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Nabor Assey akiongea na waandishi wa Habari (Hawapo pichani) kuhusu utekelezaji wa Miongozo ya Luanda inayohusu ukamataji na ushikiliaji wa watuhumiwa kabla ya kufunguliwa mashtaka itakayosaidia kupunguza mzigo kwa seriikali katika uendeshaji wa mahabusu na magereza yenye msongamano mwingi wa watuhumiwa na wafungwa, wakati wa Mkutano leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya...

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Tanzania imedhamiria kutekeleza dira yake ya haki sawa kwa wote

Kaimu Mkurugenzi, Kurugenzi ya Usimamizi na Uendeshaji wa Mashauri kutoka Mahakama ya Tanzania Bw. John Kahyoza akiwaeleza waandishi wa (hawapo pichani) mikakati iliyoweka iliyowekwa na Mahakama ya Tanzania ili kutekeleza dira yake ya haki sawa kwa wote na kwa wakati kwa vitendo, kwa kuhakikisha inapunguza muda wa mashauri kukaa mahakamani, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari wa Mahakama ya Tanzania Bi. Mary Gwera. Picha na Hassan...

 

5 years ago

Michuzi

MABORESHOYA SHERIA NA KANUNI YANAVYORAHISISHA UTOAJI WA HAKI

NA INNOCENT KANSHA - Mahakama Mahakama ya Tanzania imefanya Maboresho na inaendelea kufanya maboresho katika maeneo yote muhimu ya utendaji kazi kupita nguzo tatu za Mpango Mkakati wa Miaka Mitano ulioanza kutekelezwa mwaka 2015/16 hadi mwaka 2019/20. Nguzo hizo ni Utawala, Uwajibikaji na Matumizi ya Bora ya Rasilimali, Upatikanaji wa haki sawa  kwa wote na kwa wakati na Kujenga taswira chanya na Kurejesha imani ya wananchi kwa Mahakama. Hivyo maboresho ya sheria na kanuni mbalimbali...

 

9 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YAADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA JIJINI ARUSHA

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mariado na walimu iliyopo Usa River ,wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha wakiwa katika picha ya pamoja waliposhiriki maadhimisho ya Siku ya Haki za Binadamu barani Afrika katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu iliyofanyika Oktoba 21 na kudai haki za wenye ulemavu wa ngozi(Ualibino) kulindwa kama wananchi wengine
Mwanafunzi Kelvin wa shule ya Mariado akiimba wimbo Umoja wa Afrika(AU)ambao ni maalumu wakati wa shughuli za umoja huo zinapofanyika.
Kamishna wa Tume...

 

9 years ago

BBCSwahili

Changamoto za utoaji wa huduma za dharura

Huduma ya kwanza huchangia pakubwa katika uokoaji wa maisha ya binadamu haswa wakati wa majanga.Tumezungumza na mhudumu mmoja

 

10 years ago

Tanzania Daima

PSPF yajivunia miaka 15 ya utoaji huduma

MFUKO wa Pensheni wa PSPF ulianzishwa kwa sheria ya mafao ya hitimisho la kazi kwa watumishi wa umma namba 2 ya mwaka 1999. Tangu kuanzishwa kwake hadi mwaka 2008 PSPF...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Tekinolojia changamoto utoaji huduma za Posta’

SERIKALI imesema mabadiliko ya mazingira ya mawasiliano kwa njia ya Tekinolojia imeleta changamoto katika utoaji wa huduma za Posta kwa umma. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana kwa Niaba ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani