Mbunge ataka sheria kuwabana wanaowapa mimba wanafunzi
MBUNGE wa Viti Maalumu, Christowaja Mtinda (CHADEMA), ameitaka serikali kuja na sheria nyingine itakayowabana wanaume wanaowapa mimba wanafunzi. Akiuliza swali bungeni jana, alisema sheria ya sasa haina meno na kwamba...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Mafia yawatangazia vita wanaowapa mimba wanafunzi
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Mbunge ataka sheria ya majaji itumike
MBUNGE wa Viti Maalumu, Diana Chilolo (CCM), ameihoji serikali kutoanza kutumika sheria ya majaji iliyotungwa na Bunge na kuainisha haki na marupurupu ya majaji. Mbunge huyo mbali na kuhoji suala...
11 years ago
Mwananchi17 May
Mbunge ataka marekebisho ya sheria sasa
11 years ago
Habarileo26 Jul
Waomba sheria kurekebishwa kuwabana wadhalilishaji
WANAHARAKATI na wananchi wa kijiji cha Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja wameitaka Serikali kuifanyia marekebisho sheria ya ushahidi ili kwenda na wakati na kuwatia hatiani watu wanaobainika kujishughulisha na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia ikiwemo ubakaji.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Wizara ya ardhi yaandaa sheria kuwabana madalali
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Mimba za wanafunzi zamshtua JK
RAIS Jakaya Kikwete ameshtushwa na kiwango kikubwa cha wanafunzi katika Mkoa wa Ruvuma kushindwa kumaliza shule kwa sababu mbalimbali ukiwemo utoro na mimba. Utoro na mimba za wanafunzi ni mambo...
9 years ago
Habarileo21 Aug
Wanafunzi wafundwa kuepuka mimba
WANAFUNZI wa shule za msingi na sekondari wilayani Namtumbo wametakiwa kujiepusha kushiriki katika vitendo vinavyoweza kukatisha ndoto zao kama vile mimba za utotoni na kupata virusi vya Ukimwi.
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Mimba zawatoa wanafunzi shuleni Tanzania
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Mimba zakwaza ndoto za wanafunzi Newala
MIMBA za umri mdogo ambazo zimekuwa zikiwakatisha wanafunzi masomo Wilaya ya Newala, mkoani Mtwara bado ni tatizo. Matukio ya mimba hizi kwa wanafunzi mbali ya kuwakatisha masomo yao, zimekuwa zikitishia...