Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WizKid Kijana nyota wa Nigeria

Wiki hii yote BBC itakuwa na kipindi kinachoitwa Nigeria Xtra kikiongozwa na DJ Edu, ambaye ametembelea jiji la Lagos na kugundua wasanii mahiri na midundo motomoto ya Nigeria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

VIDEO: Wizkid - Nigeria's 'Justin Bieber'

In the first of a special series about Nigerian musicians, Wizkid talks about being called the country's answer to Justin Bieber.

 

11 years ago

Bongo5

Wizkid wa Nigeria afanya collabo na Rihanna

Msanii wa Nigeria Wizkid jana (July 16) ametimiza miaka 24, na miongoni mwa zawadi aliyoamua kuwapa mashabiki kwenye siku yake ya kuzaliwa ni habari njema ya kuwa amerekodi wimbo na ex wa Chris Brown, Rihanna. Akizungumza na The Beat FM ya Nigeria, Wizkid amesema wimbo huo utakuwepo katika album yake mpya. Baadhi ya mashabiki wa […]

 

9 years ago

Mwananchi

Nyota watatu kuiua Nigeria watajwa

Wakati timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ ikijiandaa kuikabili Nigeria, wachezaji watatu au wanne wameonekana ndiyo watakaoamua mechi hiyo mapema endapo watacheza katika ubora wao. Wachezaji hao, Mbwana Samatta, John Bocco na Thomas Ulimwengu ndiyo pekee wameshikilia mkononi roho za Watanzania ili kuhakikisha wanaipa ushindi wa mapema Stars.

 

10 years ago

GPL

NYOTA WA MAREKANI, NIGERIA AMBAO PIA NI WAJASIRIAMALI

Sean John ' P. Diddy'.
LICHA ya wasanii nyota wa filamu wa Hollywood nchini Marekani kuingiza fedha nyingi kutokana na kuigiza na kudhaminiwa na makampuni makubwa, waigizaji wa Nigeria waliochini ya Nollywood, mambo yao hayaendi vizuri kama wanavyotaka. Pamoja na kupata mafanikio makubwa katika kuigiza, waigizaji wa Marekani wamejiingiza katika sanaa nyingine nyingi kama yale ya fasheni za mavazi ambako wameingiza mkwanja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miguu ya nyota wa Nigeria, Ghana ilivyoongea Brazil

BAADA ya Cameroon kuanza vibaya faina za Kombe la Dunia 2014 kuchapwa bao 1-0 ilipoumana na Mexico katika siku ya pili ya fainali hizo, hofu ilitanda mioyoni mwa Waafrika wengi,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nyota mwingine wa Nigeria ajitoa Super Eagles

Nyota wa timu ya taifa ya Nigeria Super Eagles Emmanuel Emenike ametangaza kwamba amestaafu kutoka kwa timu hiyo ya taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Vitenge vya nyota nyota vyatikisa

Licha ya kuwepo kwa matoleo ya aina mbalimbali za vitenge kwa mwaka huu vipo ambavyo vimeonekana kukubalika na kuvaliwa zaidi.

 

9 years ago

Mtanzania

Davido, Wizkid wafungiwa

Davido na WizkidLAGOS, Nigeria

SHIRIKA la Utangazaji nchini Nigeria (NBC), limetangaza kuzifungia nyimbo mbalimbali zisizo na maadili, zikiwemo za wasanii nyota wa nchini humo, Davido na Wizkid.

Wimbo wa Davido uliotangazwa kufungiwa ni ‘In Do Me’ na wimbo wa Wizkid uliofungiwa ni ‘In My Bed’, nyimbo hizo zimefungiwa kupigwa kwenye vituo vyote vya runinga na radio nchini humo kutokana na kukosa maadili kwa jamii.

Nyimbo nyingine ambazo zimefungiwa kupigwa kwenye radio na runinga nchini humo ni pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani