WizKid Kijana nyota wa Nigeria
Wiki hii yote BBC itakuwa na kipindi kinachoitwa Nigeria Xtra kikiongozwa na DJ Edu, ambaye ametembelea jiji la Lagos na kugundua wasanii mahiri na midundo motomoto ya Nigeria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/73778000/jpg/_73778282_wizkid-%26apos%3Bnigeria%26apos%3Bsjustinbieber%26apos%3B.jpg)
VIDEO: Wizkid - Nigeria's 'Justin Bieber'
11 years ago
Bongo517 Jul
Wizkid wa Nigeria afanya collabo na Rihanna
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Nyota watatu kuiua Nigeria watajwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGuu8Cgu2BuhsqHuttHEaO8F2Dyz4EFpxcTxWxKgI*Kj9rGTqJzHe1AHEDHdprTAoqEbJ7tqfFIO7cgruNxRgey-a/PD3.jpg?width=650)
NYOTA WA MAREKANI, NIGERIA AMBAO PIA NI WAJASIRIAMALI
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Miguu ya nyota wa Nigeria, Ghana ilivyoongea Brazil
BAADA ya Cameroon kuanza vibaya faina za Kombe la Dunia 2014 kuchapwa bao 1-0 ilipoumana na Mexico katika siku ya pili ya fainali hizo, hofu ilitanda mioyoni mwa Waafrika wengi,...
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Nyota mwingine wa Nigeria ajitoa Super Eagles
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Vitenge vya nyota nyota vyatikisa
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Davido, Wizkid wafungiwa
LAGOS, Nigeria
SHIRIKA la Utangazaji nchini Nigeria (NBC), limetangaza kuzifungia nyimbo mbalimbali zisizo na maadili, zikiwemo za wasanii nyota wa nchini humo, Davido na Wizkid.
Wimbo wa Davido uliotangazwa kufungiwa ni ‘In Do Me’ na wimbo wa Wizkid uliofungiwa ni ‘In My Bed’, nyimbo hizo zimefungiwa kupigwa kwenye vituo vyote vya runinga na radio nchini humo kutokana na kukosa maadili kwa jamii.
Nyimbo nyingine ambazo zimefungiwa kupigwa kwenye radio na runinga nchini humo ni pamoja na...