Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TEKU yatimua watatu


                                                                                    Na Solomon wansele, mbeya
WAFANYAKAZI watatu wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU), kilichopo jijini Mbeya, wakiwemo wahasibu, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za upotevu wa zaidi ya sh. milioni 300, mali ya chuo hicho.Upotevu huo umebainika kutokana na ukaguzi wa hesabu za chuo hicho kwa kipindi cha mwaka 2012/2013.Hata hivyo, taarifa zinaeleza kuwa upotevu wa fedha unaweza kuwa zaidi ya sh. Milioni 300 kwa...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Simba yaanza timuatimua, yatimua nyota watatu kambini

Uongozi wa Simba, umewatimua kambini nyota wake watatu, Shaaban Kisiga, Amri Kiemba na Harun Chanongo baada ya wachezaji hao kucheza chini ya kiwango katika mechi za Ligi Kuu Bara.

 

10 years ago

CloudsFM

MTUHUMIWAWA MAUAJI YA MWANAFUNZI WA TEKU AHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA.

ASKARImmoja kati ya watatu waliokuwa wakituhumiwa kwa mauaji kwa aliyekuwa mwanafunziwa Chuo kikuu TEKU, amehukumiwa kunyongwa hadi kufa huku wenzie wakiachiwahuru.

Hukumuhiyo ilitolewa katika Mahakama kuu kanda ya Mbeya na Jaji Rose Temba baada yakuridhishwa na ushahidi wa pande zote mbili uliotolewa mahakamani hapo kwanyakati tofauti.


Mwendeshamashtaka wa Serikali, Archiles Mulisa akisaidiwa na Catherine Paul aliwatajawashtakiwa kuwa aliyehukumiwa ni Askari polisi F5842DC Maduhu na...

 

10 years ago

Habarileo

UDA yatimua madereva 42

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limewafukuza kazi madereva wake 42 kwa makosa mbalimbali, yakiwemo utovu wa nidhamu. Makosa mengine yaliyosababisha wafukuzwe kazi ni, kuvunja sheria za barabarani kwa makusudi, kukatisha njia kinyume cha taratibu na kutoza nauli zisizo rasmi tofauti na zilizopo kwenye tiketi.

 

10 years ago

Habarileo

Rushwa yatimua 400 mizani

WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya dola kuingilia kati suala la rushwa kwenye vituo vya mizani za kupimia uzito wa magari yanayosafirisha mizigo, akisema rushwa hiyo imekithiri.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yatimua benchi la ufundi

Klabu bingwa ya soka Tanzania, Yanga imetimua benchi lake lote la ufundi kwa kile kilichoelezwa kuwa kushindwa kuleta matunda yaliyokusudiwa katika klabu hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Tanesco yatimua mameneja saba

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limewaachisha kazi wafanyakazi wake saba wa kada ya uhasibu, umeneja na uhandisi kwa tuhuma za wizi na ubadhirifu.

 

11 years ago

Dewji Blog

Bagamoyo Historical Marathon yatimua vumbi!

01

Wakimbiaji wakitimua vumbi katika mashindano ya Bagamoyo Historical Marathon, mjini Bagamoyo, Pwani. Mashindano hayo yaliandaliwa na Kampuni ya 4Beli.

02

Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (katikati) akihutubia wakati akifungua mashindano ya Bagamoyo Marathon mjini Bagamoyo.

03

Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (katikati) akimpongeza...

 

11 years ago

Habarileo

Manispaa K’ndoni yatimua kazi watumishi wake 9

HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imewafukuza kazi watumishi tisa wa idara mbalimbali kutokana na makosa ya utoro kazini pamoja na matumizi mabaya ya madaraka ya ofisi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UVCCM Sengerema yatimua viongozi kwa ubadhirifu

BARAZA la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Sengerema, Mkoa Mwanza, limemvua madaraka Mwenyekiti wa umoja huo wilayani hapa, Robert Madaha. Mbali na Madaha, ambaye pia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani