Yanga yatimua benchi la ufundi
Klabu bingwa ya soka Tanzania, Yanga imetimua benchi lake lote la ufundi kwa kile kilichoelezwa kuwa kushindwa kuleta matunda yaliyokusudiwa katika klabu hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Djdbvxnlf_s/VTR379iUWkI/AAAAAAAAIVE/iiMgdt6GLio/s72-c/IMG_9657.jpg)
Simba ina waganga wengi wa kienyeji kuliko idadi ya wataalamu waliopo benchi la ufundi
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/IMG_94331.jpg)
Simba waligoma kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo walipocheza na Mbeya City jumamosi iliyopita uwanja wa Sokoine
MTANDAO huu kwa muda mrefu sasa umekuwa ukifanya tafiti na kufuatilia mwenendo wa klabu ya Simba katika mechi za ligi kuu soka Tanzania bara msimu huu.
Mwishoni mwa juma lililopita, Simba ilifungwa magoli 2-0 na Mbeya City fc katika uwanja wa Sokoine, Mbeya na kuifanya klabu hiyo kongwe nchini kuendelea kukaa nafasi ya tatu kwa pointi 35 walizokusanya baada ya kushuka...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0QPKb0uheVo/VYXOhsxDyjI/AAAAAAAHh-c/B_OKXgeZuIw/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
BREAKING NEWSSSS: KOCHA WA TAIFA STARS MAART NOOIJ NA BENCHI LAKE LOTE LA UFUNDI WATIMULIWA KAZI LEO
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika kikao chake cha leo pamoja na mambo mengine kilipitia mwenendo wa timu ya Taifa (Taifa Stars) ikiwa ni pamoja na kuhudhuria mchezo kati ya Tanzania na Uganda, kama sehemu ya tathmini ya mwenendo wa timu.
Kamati ya Utendaji kwa kauli moja imeamua yafuatayo;1. Ajira ya Kocha Mkuu Maart Nooij inasitishwa mara moja kuanzia Juni 21, 2015.2. Benchi lote la ufundi la Taifa Stars limevunjwa kuanzia Juni 21, 2015.3. Uongozi wa...
Kamati ya Utendaji kwa kauli moja imeamua yafuatayo;1. Ajira ya Kocha Mkuu Maart Nooij inasitishwa mara moja kuanzia Juni 21, 2015.2. Benchi lote la ufundi la Taifa Stars limevunjwa kuanzia Juni 21, 2015.3. Uongozi wa...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Yanga ukizubaa unaozea benchi
Ni dhahiri sasa kuna ushindani mkubwa wa nafasi katika kikosi cha Yanga msimu huu baada ya timu hiyo kusajili wachezaji wengi wa sehemu ya kiungo na ushambuliaji.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LNaUf5TOgu0/UyBHA4w7QgI/AAAAAAAAXTU/AEUH04tf2t0/s72-c/WWW.MATEJA20.BLOGSPOT.COM+..YANGA+VS+MBEYA+CITY+(5).jpg)
11 years ago
Uhuru NewspaperTEKU yatimua watatu
Na Solomon wansele, mbeya
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania