Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga ukizubaa unaozea benchi

Ni dhahiri sasa kuna ushindani mkubwa wa nafasi katika kikosi cha Yanga msimu huu baada ya timu hiyo kusajili wachezaji wengi wa sehemu ya kiungo na ushambuliaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Yanga yatimua benchi la ufundi

Klabu bingwa ya soka Tanzania, Yanga imetimua benchi lake lote la ufundi kwa kile kilichoelezwa kuwa kushindwa kuleta matunda yaliyokusudiwa katika klabu hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mwananchi

Ukizubaa tu! Umeliwa

Wakati vinara wa Ligi Kuu, Azam na Yanga wakiwa katika michezo ya kimataifa nje ya nchi, macho na masikio ya mashabiki wa soka  leo yatakuwa jijini Mbeya wakati Mbeya City watakapoikaribisha Simba kwenye Uwanja wa Sokoine.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukizubaa, imekula kwako

Yanga Simba, Mtibwa Sugar na Azam zinarejea katika Ligi Kuu Tanzania Bara leo, kesho baada ya kupumzika kwa wiki mbili zikishiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Golikipa wa Newcastle kukaa benchi

Golikipa namba moja wa Klabu ya Newcastle Tim krul atakua nje ya uwanja kwa msimu mzima uliobaki

 

10 years ago

GPL

Benchi lamuondoa Owino Simba SC

Beki wa kati wa Simba, Mganda, Joseph Owino. Na Wilbert Molandi
BENCHI limetajwa ndiyo chanzo cha beki wa kati wa Simba, Mganda, Joseph Owino kuchukua maamuzi ya kurudi kwao na kuiacha timu hiyo inayoendelea na michuano ya Kombe la Mapinduzi. Beki huyo, hivi karibuni alirejea nyumbani kwao Uganda mara baada ya kumalizika kwa mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar ambayo Simba ilifungwa bao 1-0 huku Owino akianzia benchi....

 

10 years ago

BBCSwahili

Coutinho anusurika kukaa benchi

Philippe Coutinho alikaribia kutolewa nje kabla ya kushinda asema Rodgers.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani