Coutinho anusurika kukaa benchi
Philippe Coutinho alikaribia kutolewa nje kabla ya kushinda asema Rodgers.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
Golikipa wa Newcastle kukaa benchi
Golikipa namba moja wa Klabu ya Newcastle Tim krul atakua nje ya uwanja kwa msimu mzima uliobaki
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Yanga yatimua benchi la ufundi
Klabu bingwa ya soka Tanzania, Yanga imetimua benchi lake lote la ufundi kwa kile kilichoelezwa kuwa kushindwa kuleta matunda yaliyokusudiwa katika klabu hiyo.
10 years ago
GPL
Benchi lamuondoa Owino Simba SC
Beki wa kati wa Simba, Mganda, Joseph Owino. Na Wilbert Molandi
BENCHI limetajwa ndiyo chanzo cha beki wa kati wa Simba, Mganda, Joseph Owino kuchukua maamuzi ya kurudi kwao na kuiacha timu hiyo inayoendelea na michuano ya Kombe la Mapinduzi. Beki huyo, hivi karibuni alirejea nyumbani kwao Uganda mara baada ya kumalizika kwa mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar ambayo Simba ilifungwa bao 1-0 huku Owino akianzia benchi....
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Yanga ukizubaa unaozea benchi
Ni dhahiri sasa kuna ushindani mkubwa wa nafasi katika kikosi cha Yanga msimu huu baada ya timu hiyo kusajili wachezaji wengi wa sehemu ya kiungo na ushambuliaji.
10 years ago
Vijimambo.jpg)
10 years ago
Vijimambo
Simba ina waganga wengi wa kienyeji kuliko idadi ya wataalamu waliopo benchi la ufundi

Simba waligoma kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo walipocheza na Mbeya City jumamosi iliyopita uwanja wa Sokoine
MTANDAO huu kwa muda mrefu sasa umekuwa ukifanya tafiti na kufuatilia mwenendo wa klabu ya Simba katika mechi za ligi kuu soka Tanzania bara msimu huu.
Mwishoni mwa juma lililopita, Simba ilifungwa magoli 2-0 na Mbeya City fc katika uwanja wa Sokoine, Mbeya na kuifanya klabu hiyo kongwe nchini kuendelea kukaa nafasi ya tatu kwa pointi 35 walizokusanya baada ya kushuka...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania