Rushwa yatimua 400 mizani
WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya dola kuingilia kati suala la rushwa kwenye vituo vya mizani za kupimia uzito wa magari yanayosafirisha mizigo, akisema rushwa hiyo imekithiri.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9bI7-uHIPK0/XlKZ6Sf61_I/AAAAAAALe60/0vpVVCgNrIgpqvcqHghZ4jdtIXVU7ZVOgCLcBGAsYHQ/s72-c/4-34.jpg)
WAATUMISHI MIZANI WAASWA KUJIEPUSHA NA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9bI7-uHIPK0/XlKZ6Sf61_I/AAAAAAALe60/0vpVVCgNrIgpqvcqHghZ4jdtIXVU7ZVOgCLcBGAsYHQ/s640/4-34.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5-25.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-50.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi),...
11 years ago
Habarileo27 Mar
Rushwa nje nje mizani ya Wenda
BAADHI ya watumishi katika Kituo cha Mizani cha Wenda mkoani hapa, wanadaiwa kuendelea kupokea rushwa kutoka kwa madereva wa magari makubwa. Wanafanya hivyo licha ya kufungwa kamera ya CCTV, kubaini wanaohusika katika vitendo hivyo.
10 years ago
Habarileo26 Sep
UDA yatimua madereva 42
SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limewafukuza kazi madereva wake 42 kwa makosa mbalimbali, yakiwemo utovu wa nidhamu. Makosa mengine yaliyosababisha wafukuzwe kazi ni, kuvunja sheria za barabarani kwa makusudi, kukatisha njia kinyume cha taratibu na kutoza nauli zisizo rasmi tofauti na zilizopo kwenye tiketi.
11 years ago
Uhuru NewspaperTEKU yatimua watatu
Na Solomon wansele, mbeya
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Tanesco yatimua mameneja saba
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Yanga yatimua benchi la ufundi
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Bagamoyo Historical Marathon yatimua vumbi!
Wakimbiaji wakitimua vumbi katika mashindano ya Bagamoyo Historical Marathon, mjini Bagamoyo, Pwani. Mashindano hayo yaliandaliwa na Kampuni ya 4Beli.
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (katikati) akihutubia wakati akifungua mashindano ya Bagamoyo Marathon mjini Bagamoyo.
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (katikati) akimpongeza...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
5 Effects yatimua wawili sakata la Stupid Father
KAMPUNZI ya 5 Effects Movies Ltd imewafukuza kazi wafanyakazi wake wawili wanaotuhumiwa kuiba filamu ya Stupid Father na kuiingiza sokoni kinyemela na kuahidiwa kulipwa haki zao zote zinazohitajika. Akizungumza na...
11 years ago
Habarileo27 Jul
Manispaa K’ndoni yatimua kazi watumishi wake 9
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imewafukuza kazi watumishi tisa wa idara mbalimbali kutokana na makosa ya utoro kazini pamoja na matumizi mabaya ya madaraka ya ofisi.