Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rushwa yatimua 400 mizani

WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya dola kuingilia kati suala la rushwa kwenye vituo vya mizani za kupimia uzito wa magari yanayosafirisha mizigo, akisema rushwa hiyo imekithiri.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAATUMISHI MIZANI WAASWA KUJIEPUSHA NA RUSHWA


 Muonekano wa barabara ya Sumbawanga- Matai- Kasanga Port (Km 117), kwa kiwango cha lami. Barabara hii imefikia asilimia 94.6 na inatarajiwa kukamilika mwezi Juni mwaka huu.Muonekano wa mizani ya Matai, mkoani Rukwa. Utekelezaji wa ujenzi wa mizani hii umefikia asilimia 99.PICHA NA WUUM
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi),...

 

11 years ago

Habarileo

Rushwa nje nje mizani ya Wenda

BAADHI ya watumishi katika Kituo cha Mizani cha Wenda mkoani hapa, wanadaiwa kuendelea kupokea rushwa kutoka kwa madereva wa magari makubwa. Wanafanya hivyo licha ya kufungwa kamera ya CCTV, kubaini wanaohusika katika vitendo hivyo.

 

10 years ago

Habarileo

UDA yatimua madereva 42

SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) limewafukuza kazi madereva wake 42 kwa makosa mbalimbali, yakiwemo utovu wa nidhamu. Makosa mengine yaliyosababisha wafukuzwe kazi ni, kuvunja sheria za barabarani kwa makusudi, kukatisha njia kinyume cha taratibu na kutoza nauli zisizo rasmi tofauti na zilizopo kwenye tiketi.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

TEKU yatimua watatu


                                                                                    Na Solomon wansele, mbeya
WAFANYAKAZI watatu wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU), kilichopo jijini Mbeya, wakiwemo wahasibu, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za upotevu wa zaidi ya sh. milioni 300, mali ya chuo hicho.Upotevu huo umebainika kutokana na ukaguzi wa hesabu za chuo hicho kwa kipindi cha mwaka 2012/2013.Hata hivyo, taarifa zinaeleza kuwa upotevu wa fedha unaweza kuwa zaidi ya sh. Milioni 300 kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Tanesco yatimua mameneja saba

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limewaachisha kazi wafanyakazi wake saba wa kada ya uhasibu, umeneja na uhandisi kwa tuhuma za wizi na ubadhirifu.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yatimua benchi la ufundi

Klabu bingwa ya soka Tanzania, Yanga imetimua benchi lake lote la ufundi kwa kile kilichoelezwa kuwa kushindwa kuleta matunda yaliyokusudiwa katika klabu hiyo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Bagamoyo Historical Marathon yatimua vumbi!

01

Wakimbiaji wakitimua vumbi katika mashindano ya Bagamoyo Historical Marathon, mjini Bagamoyo, Pwani. Mashindano hayo yaliandaliwa na Kampuni ya 4Beli.

02

Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (katikati) akihutubia wakati akifungua mashindano ya Bagamoyo Marathon mjini Bagamoyo.

03

Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda (katikati) akimpongeza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

5 Effects yatimua wawili sakata la Stupid Father

KAMPUNZI ya 5 Effects Movies Ltd imewafukuza kazi wafanyakazi wake wawili wanaotuhumiwa kuiba filamu ya Stupid Father na kuiingiza sokoni kinyemela na kuahidiwa kulipwa haki zao zote zinazohitajika. Akizungumza na...

 

11 years ago

Habarileo

Manispaa K’ndoni yatimua kazi watumishi wake 9

HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imewafukuza kazi watumishi tisa wa idara mbalimbali kutokana na makosa ya utoro kazini pamoja na matumizi mabaya ya madaraka ya ofisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani