SIMBA NA YANGA KUKIPIGA DUBAI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-nAMEBdNZbuQ/VViC9ANZTpI/AAAAAAAHXwY/QRMqy7tNnDE/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
kesho jumatatu katika jiji la Dubai kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Wapenzi na washabiki wa timu za Simba na Yanga katika mpambano wa kunogesha bonanza la nyama choma kwenya uwanja wa Al Ahli Stadium saa nne usiku. Utakuwa ni mpambano wa kukata ma shoka kila timu ikijigamba kuondoka na ushindi..... mtoto hatumwi dukani hapo
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s72-c/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
AZAM, YANGA KUKIPIGA ROBO FAINALI YA KAGAME CUP KESHO, NANI KUIBUKA KIDEDEA??
Hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup 2015) inatarajiwa kuendelea kesho Jumatano kwa michezo miwili kuchezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku macho na masikio yakiwa kwenye mchezo kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC.
Mechi hiyo ya pili inatarajiwa kuanza saa 10:15 jioni inatarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kufuatia timu hizo mbili zinatotokea jijini Dar es salaam kuwa na upinzani mkali kuanzia katika Ligi Kuu a Vodacom Tanzania na...
![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s640/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slfaosjdzdQXHdn5R9Yis5Fm9RkHiFG9fvzffRvX-tEVSrzUPBhii2c*jezWxjvIQjcVL5tAWhE4qbblUawRDvc8/mtanijembe.jpg?width=650)
NANI MTANI JEMBE 2, YANGA KUIVAA SIMBA KESHO TAIFA
Mechi ya Nani Mtani Jembe namba 2 itafanyika kesho siku ya jumamosi katika dimba la Uwanja ambapo itawakutanisha Young Africans Sports Club dhidi ya Simba SC huku timu zote zikitarajiwa kuwatumia wachezai wao wapya zilizowasajili katika kipindi cha dirisha dogo. Kikosi cha mbrazil Marcio Maximo tayari kimeshawasajili wachezaji wawili kiungo Emerson de Oliveira kutoka nchini Brazil na mshambuliaji mkongwe na mzoefu wa hali ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ze5WFjL49OM/VGd2gjq5JXI/AAAAAAAGxgQ/SsE1e39I5oA/s72-c/Asha-Kigundula1.jpg)
Friends Rangers kukipiga na Kimondo katika uwanja wa Karume Kesho
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ze5WFjL49OM/VGd2gjq5JXI/AAAAAAAGxgQ/SsE1e39I5oA/s1600/Asha-Kigundula1.jpg)
VINARA wa Ligi Daraja la kwanza katika kundi A, timu ya Friends Rangers, kesho wanashuka katika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, kuvaana na timu ya Kimondo, katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza.
Ofisa Habari wa klabu hiyo, Asha Kigundula, amewataka wapenzi wa klabu hiyo kujitokeza kwa wingi katika mchezo huo, kuwapa hamasa wachezaji wao. Kigundula alisema kuwa wana amini mchezo huo utakuwa mgumu, lakini kujitokeza kwa wapenzi wengi kutawafanya wachezaji wao...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Tco-_pTLj9s/VapL4EeqpoI/AAAAAAAHqUg/GU6DKWABCWw/s72-c/coastal.jpg)
Coastal Union kukipiga na Friends Corner kesho Iddi Pili
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tco-_pTLj9s/VapL4EeqpoI/AAAAAAAHqUg/GU6DKWABCWw/s320/coastal.jpg)
Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa Iddi Pili kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa ni muendelezo wa mechi za kujipima nguvu kwa ajili ya kukiimarisha kikosi hicho kwa ajili ya mashindano ya Ligi kuu yajayo.
Maandalizi ya kuelekea mechi hiyo yamekamilika kwa asilimia kubwa...
9 years ago
Michuzi25 Sep
HABARI TOKA TFF: KESHO YANGA NA SIMBA KIINGILIO KUANZIA BUKU SABA
![](http://tff.or.tz/images/derby.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IregChaDnDQ/VJPeKEV4ymI/AAAAAAAG4Xc/Lp2T_RYslf4/s72-c/FRIENDS%2BRANGERS.jpg)
friends rangers kukipiga na ndanda fc uwanja wa makurumla magomeni mwembechai kesho
![](http://2.bp.blogspot.com/-IregChaDnDQ/VJPeKEV4ymI/AAAAAAAG4Xc/Lp2T_RYslf4/s1600/FRIENDS%2BRANGERS.jpg)
9 years ago
StarTV20 Aug
Simba Sc kukipiga na Mwadui kabla ya kurudi kambini Zanzibar
SIMBA SC watacheza mchezo wa kirafiki na Mwadui FC ya Shinyanga Jumatatu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kabla ya kwenda Zanzibar kuweka kambi ya kujiandaa na Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Awali, mchezo huo ilikuwa ufanyike Jumapili, lakini Ofisa Habari wa Simba SC, Hajji Sunday Manara amesema kwamba umeahirishwa kupisha uzinduzi wa kampeni za vyama vya siasa kuelekea uchaguzi Mkuu.
Mchezo huo unatarajiwa kuwapa fursa wapenzi wa Simba SC kumuona kwa mara nyingine mshambuliaji wao mpya,...
Mchezo huo unatarajiwa kuwapa fursa wapenzi wa Simba SC kumuona kwa mara nyingine mshambuliaji wao mpya,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y00YmZzt_4M/VbOVie1PneI/AAAAAAAHryc/kAIBZkodLNw/s72-c/150401100137_yanga_team_512x288_bbc_nocredit.jpg)
YANGA NA KHARTOUM KUKIPIGA JUMAPILI HII UWANJA WA TAIFA
Hatua ya makundi ya michuano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup 2015) inatarajiwa kukamilika kesho jumapili kwa michezo miwili kupigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku macho na masikio ya wapenzi wa soka yakiwa katika mchezo kati ya Yanga SC dhidi ya Kahrtoum ya Sudan.
Mchezo huo unatarajiwa kuanza saa 10 kamili jioni, ambapo Yanga SC watashuka dimbani kusaka ushindi wake wa tatu mfululizo katika michuano hiyo, hali kadhalika timu ya Khartoum ikihitaji ushindi...
Mchezo huo unatarajiwa kuanza saa 10 kamili jioni, ambapo Yanga SC watashuka dimbani kusaka ushindi wake wa tatu mfululizo katika michuano hiyo, hali kadhalika timu ya Khartoum ikihitaji ushindi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania