Wakimbizi Kenya waagizwa kurudi kambini
Wakimbizi wote wanaoishi nje ya kambi za Kakuma na Dadaab wametakiwa kurudi katika kambi hizo haraka iwezekanavyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Kenya yaamuru wakimbizi kurejea kambini
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Mama na mwanawe waagizwa kurudi London
9 years ago
Habarileo31 Dec
Wakimbizi waagizwa kusalimisha silaha
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa maagizo kwa wakimbizi kutoka nchi za Maziwa Makuu kusalimisha silaha wanazozimiliki isivyo halali sambamba na kuwafichua wakimbizi wenzao watakaoingia kambini na silaha na kujihusisha na vitendo vya ujambazi.
9 years ago
StarTV20 Aug
Simba Sc kukipiga na Mwadui kabla ya kurudi kambini Zanzibar
Mchezo huo unatarajiwa kuwapa fursa wapenzi wa Simba SC kumuona kwa mara nyingine mshambuliaji wao mpya,...
10 years ago
StarTV07 Oct
Wakimbizi wafia kambini Cameroon.
Taarifa kutoka nchini Cameroon zinasema kuwa wakimbizi waliotoroka kutoka kwa wapiganaji wa Boko Haram wamefariki wakiwa katika kambi ya wakimbizi.
Baadhi ya wakazi waliokuwa kambini katika mji wa Fotokol karibu na mpaka wa Nigeria, wanasema kuwa mazingira katika kambi hizo, yalikuwa mabaya sana na kwamba watoto walifariki baada ya kuugua Malaria.
Wengine walilalamika kuwepo uhaba wa chakula kambini na kwamba walilazimika kuiba chakula kutoka kwa mashamba ya wenyeji.
Wadadisi...
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Wakimbizi wafia kambini mpakani Nigeria
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Walimu Kenya kurudi kazini leo
NAIROBI, KENYA
VYAMA vya walimu nchini vimetii agizo la mahakama, na hivyo kutangaza kusitisha mgomo na kuwaomba walimu kuripoti kazini kuanzia leo.
Katibu Mkuu wa Chama cha Taifa cha Walimu (KNUT), Wilson Sossion aliwataka walimu wote waliokuwa kwenye mgomo kurudi darasani akisema kuwa leo ni mwanzo mpya wa muhula wa tatu.
Aidha Chama cha Walimu wa Taasisi za Kati (KUPPET) pia kiliwaomba wanachama wake kurejea kazini.
Hata hivyo, Sossion alisema bado wana hofu kuwa serikali inalenga...
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Kenya yathibitisha visa vinne , raia waagizwa kuvaa barakoa
10 years ago
BBCSwahili11 Apr
Wakimbizi wa Somalia:Kenya yaonya UN